All the bestNatumaini nitafika huko.....ni sawa na mtu anayefanya mtihani akitegemea kufaulu
SawaAll the best
karibu mbinguniha ha ha nimeshatekeleza tayari mkuu nikashushia na maziwa mtindi.
ha ha ha ha umekaa upande gani mkuu,naona kuna moto wa 1,000,000,000'C unawaka.karibu mbinguni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi, unataka kuzeeka?
Karibu uzeeni...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashindwa niandike nini
Kwanini hutaki kuzeeka?Karibu uzeeni...
ha ha ha ujana mtamuuuKwanini hutaki kuzeeka?
Haujui kwamba kila Jambo Lina wakati na majira yake?
Eti eeh!??ha ha ha ujana mtamuuu
Kwani mkuu ulijui hilo?Eti eeh!??
Mimi nadhani kila stage ina Raha na tabu yakeKwani mkuu ulijui hilo?
Hata kubaleghe vzr bado..Naskia bibie we bado mbichii chuchu SAA 6
Usihofu, ukifa tz unaenda zaliwa China [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Napenda sana maisha ya ujana, na sipendi nizeeke mapema.Najitahidi kukontro chakula ili nisiwe na mwili uliojaa,nafanya mazoezi ya hapa na pale.Nifanyeje wakuu ili nikiwa na miaka 50 nionekane bado kijana wa miaka 25?
ha ha ha ndio maana china ina watu wengiUsihofu, ukifa tz unaenda zaliwa China [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahaNapenda sana maisha ya ujana, na sipendi nizeeke mapema.Najitahidi kukontro chakula ili nisiwe na mwili uliojaa,nafanya mazoezi ya hapa na pale.Nifanyeje wakuu ili nikiwa na miaka 50 nionekane bado kijana wa miaka 25?
Usihofu, ukifa tz unaenda zaliwa China [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]