Sitaki tena sitaki...

Sitaki tena sitaki...

Leo nimeambiwa eti mie naiga kupenda(Mapenzi yangu eti ya Kichina), hivi kuna wanaoiga kupenda Jamani? Kuna mapenzi ya Kichina siku hizi?...Sasa nataka kuacha kupenda, Je, nifanyaje sasa kwa wife wangu?Nisipopenda ndo nimchukie au tuonane kama tupo tupo tuuuuuuuuuu?

Fanya ya kihindi
 
Fanya ya kihindi


Siyawezi ya kuimbiana tena? yahu zimatee, nakujikunaweee, yumaganipe hi, yuka yuka masakeee...imakulanukeee isukanagoleee, itamtatayeee zugazuga natahe....duh niko mzima pia mkuu
 
Back
Top Bottom