Sitaki Tena


jamani, umeona nimemuuliza hapo juu na akakubali mwenyewe; nashukuru kwa kunikumbusha lakini.
 

Ha ha ha ha,pole sana aisee!!!!

Duh,mwambie aache kuigiza mambo ya kwenye porn sio
halisi.

Nawe mda wote ana kutwanga kwanini ulikua humwambii apunguze speed,na umbali
anao enda?

NB: UNGE MNG'ATA PIA NANII YAKE
 

Ushauri mzuri sana,ila kwakua hamna anae mfahamu sio
mbaya.
 
hahaha jf ni zaidi ya uijuavyo,mpaka anakung'ata boobs inaonekana uliknogewa na mikito thats why hata hukusense meno!!na huyo mwanaume i assume ni wa MARA,inakuaje mpaka akung'ate...?tatizo vijarida vya mapenzi vinawapeleka pabaya vijana wetu
 
Tatizo alikuwa na ugwadu sana mambo ya njoo kesho alishachoka akasema huyu dawa yake ipo jikoni , nitaritandika!!
 
Ningenda kufahamu yafuatayo kutoka kwako ilinichangie sawa na ufahamu wako: kabila,dini, kiwango cha elimu yako,uliwahi soma shule au chuo na kulala bweni? unapendelea nini wakati wa uhuru binafsi {HOBIES} Nawasilisha.
 
Ningenda kufahamu yafuatayo kutoka kwako ilinichangie sawa na ufahamu wako: kabila,dini, kiwango cha elimu yako,uliwahi soma shule au chuo na kulala bweni? unapendelea nini wakati wa uhuru binafsi {HOBIES} Nawasilisha.
Maswali yako hayatanipunguzia maumivu ninayoyasikia kwa sasa.
 
Ni vyema ukae nae umueleze alichofanya akija kufurahisha na umueleze jinsi ulivyo umia pia.
Nadhani atakuelewa na atajirekebisha!
daaaah! Mlikuwa libya nini?
Hili ni tatizo dogo ambalo ukiamua unalimaliza bila wasiwasi na tumaini unampenda kwa dhati hivyo utamueleza ukweli.
 
aiseee.. yani wewe unastahili pole kubwaaa..
 
Inaelekea u mgeni sana kwenye shughuli! Haya ndio matatizo ya kukimbia unyago!
 
pole sana ila si inaona faida ya kutest mzigo.....loh

unachotakiwa umpe muda zungumza nae na umfundishe mikato, kuhusu kung'ata kama midadi yake ni kung'ata mwekee mto au shuka angate hilo mizuka yake ikizidi.....

Kama anag'ata wakati wa romance mfundishe na mwambie asikunyonye chakula cha mtoto.....

Loh sipati picha jamaa alivyokuwa anajituma kumbe mwenzie walaaaa unakarahika tu....akitoka hapo anajisifu yeye kidume uwiiiiiiiii
 
jaribu kukaa nae mzungumze tofauti zenu, kama binadamu huwa tunakuwa na uelewa tofauti wa mapenzi kwa ujumla hivyo ni vyema kukaa pamoja ukamuelekeza na kumsihi kuwa alichokifanya sio kizuri nae kwa kuwa anakupenda atakuelewa. Si busara kuachana nae kwa sababu hizo tuu coz huenda akawa mtu mzuri zaidi kuliko kutafuta mwanaume mwengine. Pole kwa yaliyokukuta but mwisho wa siku maisha lazima yaendelee:A S 465:
 
Pole sana,sijui kwa nini jamaa alitumia vibaya kitu kizuri,siku nyingine mnyime aone uchungu wake,ai see mbaya saa hiyo,pole sana,jitahidi umuone daktari mapema,usije pata tetenasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…