wakuu nywele alishanyoa na jamaa anafanya kazi yake, na sio kwamba haongei na mshua wake wanapiga story fresh lakini Dingi ndio hataki salamu
Kwanza salamu kitu gani. Kusalimiana kila mara ni dalili za ujinga na umasikini. Kusalimiana si maana yake kujuliana hali? Sa kama wanakutana na kula stories na kufurahi hapa na pale kuna zaidi ya hilo? Acheni mambo ya kiswahili ya kupotezeana time kwa masalamu marefu yasokuwa na tija.
au baba alihisi kijana wake anagongwa.
Uzazi kazi jamani hasa watoto wa kiume wajuaji kweli wakati ndo wako vulnerable.
Dogo hana adabu vipi akale sehemu anayo kula baba yake...Hata mimi kama ni mwanagu simjibu salamu yake.soma post# 27 nadhani ndio ilisababisha dingi asipeane salamu na mwanae