Salaam, Shalom!
Leo ni jumapili njema sana, hatimaye tumeungana tena na mpendwa wetu ndugu Philip Mpango.
Ametupa ujumbe wa Leo Kutoka kitabu cha (Zaburi 118:17) usemao:
SITAKUFA,BALI NITAISHI, NIUSIMULIE WEMA WA BWANA.
Na kuusimulia wema wa Mungu ni katika Nchi Walio hai, maana imeandikwa pia, Kuzimu haitakusifu.
Amesema kuwa, KAZI iliyomleta duniani, hajaikamilisha Bado hivyo hawezi kufa kabla ya wakati.
Usisahau kuwakumbusha wote wenye kukuchulia kifo, Kwa kuquote kifungu hiki Cha BIBLIA, ukiwaambia kuwa SITAKUFA, BALI NITAISHI. (Zaburi 118:17).
Mungu atubariki sote. Jumapili njema.
Amen
Leo ni jumapili njema sana, hatimaye tumeungana tena na mpendwa wetu ndugu Philip Mpango.
Ametupa ujumbe wa Leo Kutoka kitabu cha (Zaburi 118:17) usemao:
SITAKUFA,BALI NITAISHI, NIUSIMULIE WEMA WA BWANA.
Na kuusimulia wema wa Mungu ni katika Nchi Walio hai, maana imeandikwa pia, Kuzimu haitakusifu.
Amesema kuwa, KAZI iliyomleta duniani, hajaikamilisha Bado hivyo hawezi kufa kabla ya wakati.
Usisahau kuwakumbusha wote wenye kukuchulia kifo, Kwa kuquote kifungu hiki Cha BIBLIA, ukiwaambia kuwa SITAKUFA, BALI NITAISHI. (Zaburi 118:17).
Mungu atubariki sote. Jumapili njema.
Amen