Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Nimemuona. Tena mzima tu wa afya. Yule mjinga Kigogo sijui atawaambia nini wafuasi wake manyumbu wale ππΏUhai ni hazina iliyofichwa mikononi mwa Mungu,
Tukimtegemea, hayupo wa kufupisha siku zetu. Majaribio yote yatashindwa.
Amen
Aibu kwake,Nimemuona. Tena mzima tu wa afya. Yule mjinga Kigogo sijui atawaambia nini wafuasi wake manyumbu wale ππΏ
Mungu ni mwema na Utukufu wote una Yeye ππΏππΏππΏ
View attachment 2838558
Tutaendelea kuwaombea sana na hasa viongozi wetu wanyenyekevu,wenye kuona ukuu wa Mungu na kuushuhudia na wanaojua wamebeba kusudi la Mungu na sio la wanadamu.Amemwambia Mh Rais Samia kuwa,nadhani unaniona, Niko mzima kabisa, hata sijapungua popote.
Alikuwa na furaha sana.
Mungu anatupenda Watanzania.
Tuzidi kuwaombea na kuwabariki viongozi wetu.
Pitia comment No 21, IPO videoWeka video
Waovu Huwa wanawachukia sana viongozi wazalendo wapenda HAKI.Tutaendelea kuwaombea sana na hasa viongozi wetu wanyenyekevu,wenye kuona ukuu wa Mungu na kuushuhudia na wanaojua wamebeba kusudi la Mungu na sio la wanadamu.
Mungu Ibariki Tanzania. Wabariki na Uwalinde Viongozi ambao mamlaka yao ina kibali chako na ni bendera ya uwepo wako nasi watanzania.
What a beautiful comment. Thenki yu Michelle ππΏTutaendelea kuwaombea sana na hasa viongozi wetu wanyenyekevu,wenye kuona ukuu wa Mungu na kuushuhudia na wanaojua wamebeba kusudi la Mungu na sio la wanadamu.
Mungu Ibariki Tanzania. Wabariki na Uwalinde Viongozi ambao mamlaka yao ina kibali chako na ni bendera ya uwepo wako nasi watanzania.
diversion tactic ya CCM hiyo, hawakusema yuko wapi, watu muongee, na kwa vile ndo the humble guy, sympathy ikamaterialize ikawa fandom.Dr. Phillip Isdor Mpango. Mpole. Humble. Kiongozi!
Tulikutana Dodoma Julai mwaka huu tukaongea kishikaji sana utafikiri napiga stori na classmate tu.
Mungu Akushike mkono na kukuvusha katika changamoto yo yote inayokukabili. Taifa letu bado linakuhitaji hata kama unaonekana kuwa tishio kwa baadhi ya watu kuelekea 2025/2030.
Kweli hutakufa bali utaishi ili uje uusimulie wema wa Bwana. Tunakuombea!ππΏππΏππΏ
View attachment 2838557
Vyo vyote iwavyo. Mimi nimefurahi tu kwamba ni mzima basi. Mengine hayanihusu maana hata ukiyafikiria sana huna cha kufanya labda ujifunge mabomu ukajiripue uache ugali na misambwanda. Kha!diversion tactic ya CCM hiyo, hawakusema yuko wapi, watu muongee, na kwa vile ndo the humble guy, sympathy ikamaterialize ikawa fandom.
kifuatacho ni kumpachika kwenye urais na kumfanya kikalagosi.
amini kwamba.
Habari ya Urais ni kitu kingine.diversion tactic ya CCM hiyo, hawakusema yuko wapi, watu muongee, na kwa vile ndo the humble guy, sympathy ikamaterialize ikawa fandom.
kifuatacho ni kumpachika kwenye urais na kumfanya kikalagosi.
amini kwamba.
Jambo jema hili.Amenifurahisha alipomwambia Mh Rais Samia kuwa,
Nadhani unaniona, ni mzima kabisa, sijapungua popote.
Mungu ni MWEMA kwakweli.
Mods wanaunga nyuzi za kumzungumzia, Uzi huu wameuedit wakaondoa Jina Mpango kwenye heading.Jambo jema hili.
Weka hata picha basi...
Thank you too Shimba.What a beautiful comment. Thenki yu Michelle ππΏ