Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipanda ubuyu usitarajie kuvuna mpunga,umevuna ulichokipanda na hicho ukale na wa kwenu!Wadau hope mpo pouwa juzi nilitokea wilaya ya mvomero huko madizini nikiwa na boss wangu na dereva wetu tulitoka huko madizin turiani mida ya saa kumi na mbili jioni lengo likiwa tuje kulala msamvu ili kesho yake tuwahi kuelekea mikumi kikazi basi tulipofika msamvu tukachukua gesti mitaa fulani ya mafisa boss na dereva walipozama ndani mi nikatoroka nikaelekea mitaa fulani kuna bar inaitwa double view nikachukua manzi mmoja kwa makubaliano ya 40000 per night nikagonga vi castle lite vya kutosha manzi naye anagonga ndovu tulipomaliza nikaamsha naye gest balaa ni asubuhi demu kaniletea shida balaa anadai tulikubaliana 70000 hii ni baada ya kuona kitita cha noti balaa boss wangu na dereva wananisubir mim tuondoke wakasikia mzozo kugonga mlango nikawafungulia wakanikuta na yule demu boss akauliza kwan shida nn manzi akajibu ananidai 30000 boss akafungua wallet akampa jana nimekaa kwny gari na mawazo kibao sijui kama boss atanipa tena hizi trip za kuelekea mikoa mbalimbali au ndio mwisho wa kibarua changu.
msamvu nilizunguka hapo chini ya stend pana wanajiuza mpaka buku nne lakni nikaona sio ishu ndio nikaenda double view kama unapajua ni pembeni ya hoteli hiyo cjui inaitwa filomi.Msamvu hakuna bei hiyo..labda useme elfu saba tu(7000)
nimekoma mkuu sirudii tena.Wanawake wa morogoro wanajifanyaga watata sana,
Muulize Millard ayo kilichomkuta
kweli mkuu ni kawaida ningekua mwenyew aixee sio kwa kunijazia nzi vile mbele ya boss.mambo ya kawaida hayo,...
Makubaliano yetu yalikua 40000 ila asubuhi kanibadilikia na alikua mtata balaa daah boss ndio aka top up.UNATOA ELFU 70 KWA MBUNYE ??? AU ILIKUWA NA AC,INFARED NA BLUETOOTH MPAKA UTOE HELA YOTE HIYO
Daah acha tu mkuu majuto ni mjukuu.. nimekomaStarehe ya muda mfupi imekuponza na hapo ukute una dem mzur kuliko huyo changu
Kama kahaba analiwa tigo....! Wee jamaa wewe.Mshahara wa dhambi ni mauti.
Sio lazima ufe wewe, chaweza kufanya cheo chako, yaweza kufa KAZI yako.
Mikosi na mabalaa humuingia mtu kwa njia ya zinaa ndio maana vitabu vyote vya imani vimetukataza kuisogelea zinaa.
Ukizini na kahaba unakuwa mwili mmoja na kahaba kama kahaba huyo analiwa tigo basi na wewe unaliwa tigo kwenye ulimwengu usioonekana
Mmmh.Uno alilokupa ni kweli la elf 70? Au kakupunja...
Acha tu msamvu kwenda mikumi sio parefu sana lakini niliona kama natoka Dar kwenda kahama au kigoma gari ina kiyoyozi lakn kijasho kwa mbali.kweli unastress umesahau hadi koma na nukta hahahaaaaaa
Hahahah.... Hiyo 30,000 aliyoongeza ni ya VAT hukujua mkuu?Acha tu msamvu kwenda mikumi sio parefu sana lakini niliona kama natoka Dar kwenda kahama au kigoma gari ina kiyoyozi lakn kijasho kwa mbali.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Uno alilokupa ni kweli la elf 70? Au kakupunja...
Nimekubali mkuu ni mji kasoro meli aixee bahari ipo mindu pale.ukijua wanawake wa dar eeh. hiyo ndo mji kasoro na wanachapa karate