Sitamchangia pesa Mwanasiasa yoyote

Sitamchangia pesa Mwanasiasa yoyote

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
20,694
Reaction score
32,527
Moja ya vitu ambavyo hushangaza kwa sisi watu ambao tupo kwenye ulimwengu wa 3 ni namna tunavyofanya maamuzi.

Ukweli usiopingika ni kuwa tunahitaji wanasiasa watuongoze na ndio mfumo upo hivyo na wala sio jambo baya.

Siasa katika nchi zetu ni biashara kubwa pengine kuliko zilivyo biashara zingine na ndio maana wanasiasa hutumia pesa nyingi na kila aina ya mbinu ili wapate madaraka.

Ukweli ulio wazi kwenye nchi yetu moja ya watu ambao wanapata pesa nyingi ni wabunge (sidhani Kama mtu atabisha hili na ndio maana miaka na miaka watu wamekua wakilalamika malipo ya wabunge).

Hivyo kutokana na hoja nzito hapo juu, ni jukumu la mwanasiasa kujua anapopata pesa anatakiwa afanye nini na kwa wakati gani.

Ikatokea mwanasiasa yoyote akapata tatizo na amewahi kupata malipo Kama ya ubunge basi Ni jukumu lake kutumia vyanzo vyake vingine vya mapata kutatua matatizo yake.

Kama hana vyanzo vingine, hiyo nayo haituhusu ni uzembe wake.

Mwanasiasa ambae anauza maneno tu, Leo apate tatizo nimchangie? Hapana.

Mwanasiasa ni jukumu lako kutafuta namna ya kutunza kipato chako, Wala sio jukumu letu kukusaidia unapopata tatizo.

#kazi iendelee#
#T2025 SSH#
 
Wanasiasa inabidi wapambane kutunga sheria ambazo zitarahisisha maisha kwa wananchi, katika kila nyanja, biashara , afya, elimu, ajira ,sheria na nk
 
Moja ya vitu ambavyo hushangaza kwa sisi watu ambao tupo kwenye ulimwengu wa 3 ni namna tunavyofanya maamuzi.

Ukweli usiopingika ni kuwa tunahitaji wanasiasa watuongoze na ndio mfumo upo hivyo na wala sio jambo baya.

Siasa katika nchi zetu ni biashara kubwa pengine kuliko zilivyo biashara zingine na ndio maana wanasiasa hutumia pesa nyingi na kila aina ya mbinu ili wapate madaraka.

Ukweli ulio wazi kwenye nchi yetu moja ya watu ambao wanapata pesa nyingi ni wabunge (sidhani Kama mtu atabisha hili na ndio maana miaka na miaka watu wamekua wakilalamika malipo ya wabunge).

Hivyo kutokana na hoja nzito hapo juu, ni jukumu la mwanasiasa kujua anapopata pesa anatakiwa afanye nini na kwa wakati gani.

Ikatokea mwanasiasa yoyote akapata tatizo na amewahi kupata malipo Kama ya ubunge basi Ni jukumu lake kutumia vyanzo vyake vingine vya mapata kutatua matatizo yake.

Kama hana vyanzo vingine, hiyo nayo haituhusu ni uzembe wake.

Mwanasiasa ambae anauza maneno tu, Leo apate tatizo nimchangie? Hapana.

Mwanasiasa ni jukumu lako kutafuta namna ya kutunza kipato chako, Wala sio jukumu letu kukusaidia unapopata tatizo.

#kazi iendelee#
#T2025 SSH#
Maajabu ya mbu kumchangia binadamu damu. Wewe huna kitu unaishi kwa staili ya unga unga mwana.
 
Bahati mbaya sana wadau wanamchangia Profesa J, ambaye ni kipenzi chao. Na hawamchangii mwanasiasa. Na mbaya zaidi wanachanga hizo fedha kutoka mifukoni mwao, na hakuna aliye lazimishwa kuchangia.

Hivyo hata kama itatokea wewe na mimi tukagoma kuchangia, bado wengine watachangia tu kwa mapenzi yao. Na uwezo wa kuwazuia hatuna! Zaidi tutaishia tu kununa.
 
Moja ya vitu ambavyo hushangaza kwa sisi watu ambao tupo kwenye ulimwengu wa 3 ni namna tunavyofanya maamuzi.

Ukweli usiopingika ni kuwa tunahitaji wanasiasa watuongoze na ndio mfumo upo hivyo na wala sio jambo baya.

Siasa katika nchi zetu ni biashara kubwa pengine kuliko zilivyo biashara zingine na ndio maana wanasiasa hutumia pesa nyingi na kila aina ya mbinu ili wapate madaraka.

Ukweli ulio wazi kwenye nchi yetu moja ya watu ambao wanapata pesa nyingi ni wabunge (sidhani Kama mtu atabisha hili na ndio maana miaka na miaka watu wamekua wakilalamika malipo ya wabunge).

Hivyo kutokana na hoja nzito hapo juu, ni jukumu la mwanasiasa kujua anapopata pesa anatakiwa afanye nini na kwa wakati gani.

Ikatokea mwanasiasa yoyote akapata tatizo na amewahi kupata malipo Kama ya ubunge basi Ni jukumu lake kutumia vyanzo vyake vingine vya mapata kutatua matatizo yake.

Kama hana vyanzo vingine, hiyo nayo haituhusu ni uzembe wake.

Mwanasiasa ambae anauza maneno tu, Leo apate tatizo nimchangie? Hapana.

Mwanasiasa ni jukumu lako kutafuta namna ya kutunza kipato chako, Wala sio jukumu letu kukusaidia unapopata tatizo.

#kazi iendelee#
#T2025 SSH#
Ulikuwa unawahonga ili upate teuzi?
 
Serikali makini ya CCM ipo itagharamia matibabu ya huyu nguli wa sanaa ya bongo fleva ndugu Prof.J
 
Moja ya vitu ambavyo hushangaza kwa sisi watu ambao tupo kwenye ulimwengu wa 3 ni namna tunavyofanya maamuzi.

Ukweli usiopingika ni kuwa tunahitaji wanasiasa watuongoze na ndio mfumo upo hivyo na wala sio jambo baya.

Siasa katika nchi zetu ni biashara kubwa pengine kuliko zilivyo biashara zingine na ndio maana wanasiasa hutumia pesa nyingi na kila aina ya mbinu ili wapate madaraka.

Ukweli ulio wazi kwenye nchi yetu moja ya watu ambao wanapata pesa nyingi ni wabunge (sidhani Kama mtu atabisha hili na ndio maana miaka na miaka watu wamekua wakilalamika malipo ya wabunge).

Hivyo kutokana na hoja nzito hapo juu, ni jukumu la mwanasiasa kujua anapopata pesa anatakiwa afanye nini na kwa wakati gani.

Ikatokea mwanasiasa yoyote akapata tatizo na amewahi kupata malipo Kama ya ubunge basi Ni jukumu lake kutumia vyanzo vyake vingine vya mapata kutatua matatizo yake.

Kama hana vyanzo vingine, hiyo nayo haituhusu ni uzembe wake.

Mwanasiasa ambae anauza maneno tu, Leo apate tatizo nimchangie? Hapana.

Mwanasiasa ni jukumu lako kutafuta namna ya kutunza kipato chako, Wala sio jukumu letu kukusaidia unapopata tatizo.

#kazi iendelee#
#T2025 SSH#
1644587573429.png
 
Moja ya vitu ambavyo hushangaza kwa sisi watu ambao tupo kwenye ulimwengu wa 3 ni namna tunavyofanya maamuzi.

Ukweli usiopingika ni kuwa tunahitaji wanasiasa watuongoze na ndio mfumo upo hivyo na wala sio jambo baya.

Siasa katika nchi zetu ni biashara kubwa pengine kuliko zilivyo biashara zingine na ndio maana wanasiasa hutumia pesa nyingi na kila aina ya mbinu ili wapate madaraka.

Ukweli ulio wazi kwenye nchi yetu moja ya watu ambao wanapata pesa nyingi ni wabunge (sidhani Kama mtu atabisha hili na ndio maana miaka na miaka watu wamekua wakilalamika malipo ya wabunge).

Hivyo kutokana na hoja nzito hapo juu, ni jukumu la mwanasiasa kujua anapopata pesa anatakiwa afanye nini na kwa wakati gani.

Ikatokea mwanasiasa yoyote akapata tatizo na amewahi kupata malipo Kama ya ubunge basi Ni jukumu lake kutumia vyanzo vyake vingine vya mapata kutatua matatizo yake.

Kama hana vyanzo vingine, hiyo nayo haituhusu ni uzembe wake.

Mwanasiasa ambae anauza maneno tu, Leo apate tatizo nimchangie? Hapana.

Mwanasiasa ni jukumu lako kutafuta namna ya kutunza kipato chako, Wala sio jukumu letu kukusaidia unapopata tatizo.

#kazi iendelee#
#T2025 SSH#

Hakuna mtu anataka hela yako dogo. Usianzishe uzi kana kwamba kuna mtu anahitaji mchango wako.
 
Moja ya vitu ambavyo hushangaza kwa sisi watu ambao tupo kwenye ulimwengu wa 3 ni namna tunavyofanya maamuzi.

Ukweli usiopingika ni kuwa tunahitaji wanasiasa watuongoze na ndio mfumo upo hivyo na wala sio jambo baya.

Siasa katika nchi zetu ni biashara kubwa pengine kuliko zilivyo biashara zingine na ndio maana wanasiasa hutumia pesa nyingi na kila aina ya mbinu ili wapate madaraka.

Ukweli ulio wazi kwenye nchi yetu moja ya watu ambao wanapata pesa nyingi ni wabunge (sidhani Kama mtu atabisha hili na ndio maana miaka na miaka watu wamekua wakilalamika malipo ya wabunge).

Hivyo kutokana na hoja nzito hapo juu, ni jukumu la mwanasiasa kujua anapopata pesa anatakiwa afanye nini na kwa wakati gani.

Ikatokea mwanasiasa yoyote akapata tatizo na amewahi kupata malipo Kama ya ubunge basi Ni jukumu lake kutumia vyanzo vyake vingine vya mapata kutatua matatizo yake.

Kama hana vyanzo vingine, hiyo nayo haituhusu ni uzembe wake.

Mwanasiasa ambae anauza maneno tu, Leo apate tatizo nimchangie? Hapana.

Mwanasiasa ni jukumu lako kutafuta namna ya kutunza kipato chako, Wala sio jukumu letu kukusaidia unapopata tatizo.

#kazi iendelee#
#T2025 SSH#
Tuchangiane wenyewe kwa wenyewe au siyo

Alafu kwenye list yako ongezea wasaniii pia

Ova
 
Na Niki wapili pia akihitaji kuchangiwa utakataa??
 
mleta mada andika yako inaonyesha wewe ni "kapuku bin tia maji".
Sasa utachanga nini, ni vyema utulie tu wanaume wachange!
 
Ukweli ulio wazi kwenye nchi yetu moja ya watu ambao wanapata pesa nyingi ni wabunge (sidhani Kama mtu atabisha hili na ndio maana miaka na miaka watu wamekua wakilalamika malipo ya wabunge).
Ushahidi huu hapa
1644588139609.png
 
Back
Top Bottom