Sitamsahau JK

Sitamsahau JK

Alvin A.

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
2,865
Reaction score
3,633
[emoji848]Enzi za Jakaya Mrisho Kikwete weekend kama hii.
Muda kama huu unakuta upo zako nyumbani. Ghafla jamaa anakupigia simu. [emoji848]

"Kaka upo wapi? njoo Maisha club, beib yangu imekuja na wenzie wawili wa chuo. Watoto wasafi kama sarafu inayotoka mlango wa bank. Toto inanukia safi hiyo asikuambie mtu.![emoji23] Nina kama laki nne na unusu ya kutumia tu usiku wa leo. Ngoja nikutumie usafiri kaka. Ukuje chaap!"
[emoji594][emoji594][emoji594][emoji594][emoji594][emoji594][emoji594]

Waliokuwa wakitoa ofa hizo enzi za JK. Leo wakinipigia simu muda kama huu utasikia.
"KAKA USILALE BILA KUSALI."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20190616-WA0000.jpeg
 
[emoji848]Enzi za Jakaya Mrisho Kikwete weekend kama hii.
Muda kama huu unakuta upo zako nyumbani. Ghafla jamaa anakupigia simu. [emoji848]

"Kaka upo wapi? njoo Maisha club, beib yangu imekuja na wenzie wawili wa chuo. Watoto wasafi kama sarafu inayotoka mlango wa bank. Toto inanukia safi hiyo asikuambie mtu.![emoji23] Nina kama laki nne na unusu ya kutumia tu usiku wa leo. Ngoja nikutumie usafiri kaka. Ukuje chaap!"
[emoji594][emoji594][emoji594][emoji594][emoji594][emoji594][emoji594]

Waliokuwa wakitoa ofa hizo enzi za JK. Leo wakinipigia simu muda kama huu utasikia.
"KAKA USILALE BILA KUSALI."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1164567
Nitajibu hapo kwenye picha
Anza nyama, piga Heineken alafu malizia na chuchu sounds
 
[emoji848]Enzi za Jakaya Mrisho Kikwete weekend kama hii.
Muda kama huu unakuta upo zako nyumbani. Ghafla jamaa anakupigia simu. [emoji848]

"Kaka upo wapi? njoo Maisha club, beib yangu imekuja na wenzie wawili wa chuo. Watoto wasafi kama sarafu inayotoka mlango wa bank. Toto inanukia safi hiyo asikuambie mtu.![emoji23] Nina kama laki nne na unusu ya kutumia tu usiku wa leo. Ngoja nikutumie usafiri kaka. Ukuje chaap!"
[emoji594][emoji594][emoji594][emoji594][emoji594][emoji594][emoji594]

Waliokuwa wakitoa ofa hizo enzi za JK. Leo wakinipigia simu muda kama huu utasikia.
"KAKA USILALE BILA KUSALI."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1164567
usipokaza buti utakaza supra.
 
Back
Top Bottom