Sitamsamehe aliyeniambia Education is better than money

Sitamsamehe aliyeniambia Education is better than money

"Bora ukose kazi ila una elimu, kuliko ukose kazi na elimu huna"
 
Elimu ya kikoloni imeua ubunifu na imedumaza akili za watu unalazimishwa kukariri mawazo ya watu katika miongo mitatu ya maisha yako! Unalazimishwa kuyafanyia kazi mawazo ya watu for the rest of your life inakufanya uwe tegemezi kiasi kwamba ukithubutu kusimamishwa kazi kwa mwezi mmoja tu unapata pressure.

Yaani tumetengenezewa mfumo tegemezi wa maisha ambao ukijiingiza kwayo haubanduki hapa ndio unapata risk takers kama akina Bill gates aliyeukataa utumwa wa Fikra akawa huru, akina Steve Job, Mark zukerberg, Thomas Edison.

Kimsingi watu walioamua kuwa huru kimawazo wamefanikiwa sana wana ujasiri sana wa kupambana na maisha yao hawaogopi kukosea ndio matajiri wengi hawakukubali kutumia muda wao kukaririshwa kesho isiyokuwepo, eti unaambiwa education is better than money wazungu siyo watu wazuri, ona mtu kama Diamond ambaye ameamua tu kutumia kipaji chake na kutofungwa mawazo yake alivyofanikiwa

STOP KIDDING,,,, education(knowledge) is power , education is more than business, people wana soma wapate ela tatizo wanao lalamika kuhusu elim ni wale waliokua na big expectation about it, tunasahau kuwa elimu tunayoipata most valuable component ktk iyo elimu ni ''knowledge'' and that's why most of us atuoni thaman yake coz we've educ without knowledge, and kaz kubwa ya elimu ni ku impact knowledge, and we lack it tunajiona kama ndege bila mabawa that's why we keep lament.. remember '' the main goal of education is not to give you employment but is to give you power (knowledge) to make the world better place to live'' sometime we can say money is power but education is more powerful coz kunavitu pesa aina nafasi kama magonjwa mbalimbali kama corona apa ela aina nafasi the solution here is all about knowledge
 
Money Can Buy Everything Except Death! But Education Can't Even Buy A Pen
Haha hivi nyie mnaichukulia elimu kwa upana upi? Hela zilikuwepo toka kipindi cha Great Israel..Hiyo peni sijui ungeinunuaje sababu pesa ipo knowledge ya peni zetu hizi hamna...bila watu kusoma na kuumiza kichwa kufanya innovation ya hivi vitu muhimu tunavyotumia leo basi hiyo pesa yako nyingi ingekuwa useless.
 
Yaani tumetengenezewa mfumo tegemezi wa maisha ambao ukijiingiza kwayo haubanduki hapa ndio unapata risk takers kama akina Bill gates aliyeukataa utumwa wa Fikra akawa huru, akina Steve Job, Mark zukerberg, Thomas Edison.
Truth in the middle of darkness
 
Back
Top Bottom