LGE2024 Sitapiga kura mwaka huu, najuta kujiandikisha

LGE2024 Sitapiga kura mwaka huu, najuta kujiandikisha

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wagombea wangu wote wameenguliwa.

Waliobaki ni wale wanaobebwa na serikali ambao sisi wananchi hatuwataki.

SITOPIGA KURA KUWACHAGUA WALIOCHAGULIWA TAYARI
Engonga si kuna mahali umesema wewe ni Mwafrika ya kati,au umejiandikisha kwa ule uchaguzi 400?
 
Back
Top Bottom