Kuoa waziri hakuhitaji CV kubwa. Tatizo la jamaa ni mgonjwa... Mirembe panamfaa.TUPE cv yako mpaka uoe Waziri
hii ndio listi ya wanawake mawaziri
1.Ummy Mwalimu
2.Kairuki
3.Stella Manyanya
4.Jenista Mhagama
5.Mabula
6.Dk.Kijajji
Sasa sijui deo anamtaja nani
Deogratius Kisandu , mambo ya kitoto pelekea wanafunzi wako shuleni sio kutuletea hapaWatu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.
Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.
Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.
Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
hilo jani umeweka hapo linanuka vibaya sana mkuu umenikumbusha mbalikabila gani kweli wewe?
Limeyumba au limedondoka kabisa!!! hahahaha,ila huyu kaka anatia huruma jamani, hivi ni kitu gani? na huko shule anafundisha masomo gani? ddduuuu!!CHIKIRA MTABARI hebu zungusha dishi huko lishaachia tena huku chanel hazisomi tena
Mkuu pitia post zake kunakipindi aliweka hapa chenga tupu.TUPE cv yako mpaka uoe Waziri