Sitarajii Kuoa Waziri kutoka Baraza la Mawaziri Mimi Deogratius N Kisandu.

Sitarajii Kuoa Waziri kutoka Baraza la Mawaziri Mimi Deogratius N Kisandu.

Kuna watu humu hata sielewi huwa wanatumia nini kufikiri, daaaaah tuna safari ndefu sana sisi waTanzania@
 
Utakuwa ni huyu stalker
32d4ef4f96c2aba24822af105d273ef0.jpg
 
dah kisanduuuuuu umefanya nimecheka hadi watu wananiona kama chizi.. niligundua wewe ni saa mbovu tokea ulipolalamika hapa jukwaani eti j makamba amegoma kuja kwenye graduation yako, waliokaribu wakusaidie unaweza kupona!
 
Na vipi tunapogundua memba mmoja ana matatizo ya akili taratibu zinasemaje?. Pls wahusika waangalie hili kumbe tumechanganyika na wagonjw wa akili
 
Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.

Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.

Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.

Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
Deogratius Kisandu , mambo ya kitoto pelekea wanafunzi wako shuleni sio kutuletea hapa
 
Hahahaa!hv jaman hyuy mtu umri wake unasemake maana naona vitu vye vingi anavoandika kama haviendani na umri wake
 
Back
Top Bottom