nyumbu mwerevu
Member
- Nov 11, 2016
- 88
- 94
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayo naona leo umeongea lugha ya Mwenye Jimbo lake[emoji28][emoji28]kumbe na ushirikina hehhee!mbombo jilipo!
Nilikuwa nalala kwenye fello(udongo)""Wenzako huwa wanalala hapohapo,,
Yaani sie tupigwe na baridi, wewe uje uchukue kirahisi tu,,
Tukifikia mali tunatoa kimya kimya na wewe hutojua,, [emoji23][emoji23],,
Tunampelekea Kotaz tunachukua chetu,,,,
We ukija tunakwambia bado bado, hadi uje ustuke sio leo""
Hayo ni maneno ya nyoka[emoji115] wa pale nyarugusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hatari sanaKuna mtu aliwahi leta uzi humu kuhusu kukurupuka kufanya biashara kisa umeona flani ametajirika kupitia hiyo biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole [emoji16][emoji16],, nyoka sio watu wazuri,,Nilikuwa nalala kwenye fello(udongo)
Najifunika ngumi
Sometimes nashuka chini
TayariMaisha na msoto, pole sna mzee, nshachukua siti hapa nasubr mwendelezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari mkuuUkiendelea naomba hni cc tafadhal mtoa maada [emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app