Sitasahau majambazi wenye siraha za moto walivyonipokonya mia 3

Sitasahau majambazi wenye siraha za moto walivyonipokonya mia 3

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Unaweza fikiri labda ni utani lakini hili ni tukio lililonipata miaka zaidi ya kumi wakati nikiwa mfanyabiashara wa samaki

Nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumanne nikiwa nimeenda kuuza samaki kijiji kimoja cha huko Muleba nikiwa mimi na mjomba wangu

Kijiji hicho kilisifika kwa wizi & ujambazi hali iliyowafanya wafanyabiashara wengi kutopenda kufanyiapo biashara,nakumbuka wakati mimi na mjomba wangu tumepanga kwenda kuuza samaki kijijini humo tulionywa sana na wafanyabiashara wenzetu lakini kwa sababu ya tamaa tulilazimika kutia pamba masikioni na kuazimia kwenda kuuza samaki kijiji humo

Kuifanya story ndefu kuwa fupi siku hiyo ya jumnne tulikwenda kijijini humo na mizigo ya kutosha,tuliuza samaki zetu tena kwa kung'ang'aniwa,nakumbuka nilipata zaidi ya sh laki 6 & ½ na mjomba wangu alipata zaidi ya laki 5

Baada ya biashara tuliamua sasa tufanye utaratibu wa kurudi nyumbani lakini wakati tunasubiria usafiri nilikutana na rafiki yangu wa utotoni ambae nilikuwa na miaka zaidi ya 8 bila kumuona,alinishawishi sana nikalale nyumbani kwake halafu kesho yake yaani j5 ningeendelea na safari basi kwa kuwa nilimheshimu sana huyu mchizi wangu wa utotoni nilimkubalua ila kwa sababu ya kuhofia kupukutishwa ile pesa yangu ya mauzo nilimkabidhi mjomba wangu ambae yeye aliendelea kusubiria usafiri kwa sababu aligoma Kata kata kulala kijijini humo ambako kwa enzi hizo ilikuwa ni kama paradiso ya majambazi

Nilifika nyumbani kwa rafiki yangu ambae alikuwa akiishi nyumba ya shule,nilioga tukala tukapiga story mpaka zikatukinaisha akanionesha chumba cha kulala nikalala

Nilipata usingizi bila shida ila shida sasa ilianza nikiwa usingizini,nahisi kama vile ilikuwa ni saa 9 na madakika usiku nilikurupuka ghafla baada ya kuhisi kama mlango wa chumba nilichokuwa nimelala umevunjwa

Kabla ya hata sijajinyoosha nilimulikwa na mwanga mkali sana wa yale matochi ya kizamani huku nikipewa amri ya kukabidhi mauzo yote ya pesa niliyouza samaki au wanifanyie kitu kibaya kabisa kuwahi fanyiwa binadamu mwenye damu & nyama

Niliwaeleza ukweli wangu kuwa pesa yote nilimkabidhi mjomba wangu ambae kwa sasa atakuwa ameshaondoka humo kijijini

Nashukuru hawakunipiga ila wawili walienda wakanongonezana maneno ambayo sikuyasikia vizuri kisha ikatolewa amri ya kunipekua

Wale majambazi kiukweli kama ni kuwa na nuksi walikuwa na nuksi kwelikweli walikuta na shilingi mia tatu tu,ninaposema mia tatu namaanisha mia mia 3(300) tena ikiwa kwenye kamfuko kale kadogo ka jeans.Kumbe wakati namkabidhi mjomba ile pesa ya mauzo nilisahau kuchomoa pesa kidogo ya nauli kutokana na kunogewa na mazungumzo ya yule mchizi wangu wa utotoni

Walinitazama sana usoni kisha wakaniuliza dogo una uhakika hii ndio pesa pekee uliyobakiza nilijibu ndio,waliangua kicheko kikubwa halafu nikaamuliwa kulala kifudifudi nikatii amri ya kwa speed ya mwanga,nikasikia wakinongonezana halafu nikasikia harufu ya sigara,sikuthubutu kuinua kichwa bali uhai na marinda yangu nilimuachia Allah

Ikawa kama utani ikapita dakika tano bila kupigwa hata Kofi,Mara dakika 10 mara masaa nikaona ufala nikajigeuza taratibu du sikuamini macho yangu hakukuwa na MTU

Nikachukua suruari yangu kuipekua nikakuta ile mia tatu majambazi wamesepa nayo du kweli majambazi hayaachi kitu mpaka mia 3 wameshindwa kuniachia

Angalizo:asitokee mtu wa kuniuliza kuwa wakati majambazi wameniweka mtu kati rafiki yangu alikuwa wapi ?
 
Unaweza fikiri labda ni utani lakini hili ni tukio lililonipata miaka zaidi ya kumi wakati nikiwa mfanyabiashara wa samaki

Nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumanne nikiwa nimeenda kuuza samaki kijiji kimoja cha huko Muleba nikiwa mimi na mjomba wangu

Kijiji hicho kilisifika kwa wizi & ujambazi hali iliyowafanya wafanyabiashara wengi kutopenda kufanyiapo biashara,nakumbuka wakati mimi na mjomba wangu tumepanga kwenda kuuza samaki kijijini humo tulionywa sana na wafanyabiashara wenzetu lakini kwa sababu ya tamaa tulilazimika kutia pamba masikioni na kuazimia kwenda kuuza samaki kijiji humo

Kuifanya story ndefu kuwa fupi siku hiyo ya jumnne tulikwenda kijijini humo na mizigo ya kutosha,tuliuza samaki zetu tena kwa kung'ang'aniwa,nakumbuka nilipata zaidi ya sh laki 6 & ½ na mjomba wangu alipata zaidi ya laki 5

Baada ya biashara tuliamua sasa tufanye utaratibu wa kurudi nyumbani lakini wakati tunasubiria usafiri nilikutana na rafiki yangu wa utotoni ambae nilikuwa na miaka zaidi ya 8 bila kumuona,alinishawishi sana nikalale nyumbani kwake halafu kesho yake yaani j5 ningeendelea na safari basi kwa kuwa nilimheshimu sana huyu mchizi wangu wa utotoni nilimkubalua ila kwa sababu ya kuhofia kupukutishwa ile pesa yangu ya mauzo nilimkabidhi mjomba wangu ambae yeye aliendelea kusubiria usafiri kwa sababu aligoma Kata kata kulala kijijini humo ambako kwa enzi hizo ilikuwa ni kama paradiso ya majambazi

Nilifika nyumbani kwa rafiki yangu ambae alikuwa akiishi nyumba ya shule,nilioga tukala tukapiga story mpaka zikatukinaisha akanionesha chumba cha kulala nikalala

Nilipata usingizi bila shida ila shida sasa ilianza nikiwa usingizini,nahisi kama vile ilikuwa ni saa 9 na madakika usiku nilikurupuka ghafla baada ya kuhisi kama mlango wa chumba nilichokuwa nimelala umevunjwa

Kabla ya hata sijajinyoosha nilimulikwa na mwanga mkali sana wa yale matochi ya kizamani huku nikipewa amri ya kukabidhi mauzo yote ya pesa niliyouza samaki au wanifanyie kitu kibaya kabisa kuwahi fanyiwa binadamu mwenye damu & nyama

Niliwaeleza ukweli wangu kuwa pesa yote nilimkabidhi mjomba wangu ambae kwa sasa atakuwa ameshaondoka humo kijijini

Nashukuru hawakunipiga ila wawili walienda wakanongonezana maneno ambayo sikuyasikia vizuri kisha ikatolewa amri ya kunipekua

Wale majambazi kiukweli kama ni kuwa na nuksi walikuwa na nuksi kwelikweli walikuta na shilingi mia tatu tu,ninaposema mia tatu namaanisha mia mia 3(300) tena ikiwa kwenye kamfuko kale kadogo ka jeans.Kumbe wakati namkabidhi mjomba ile pesa ya mauzo nilisahau kuchomoa pesa kidogo ya nauli kutokana na kunogewa na mazungumzo ya yule mchizi wangu wa utotoni

Walinitazama sana usoni kisha wakaniuliza dogo una uhakika hii ndio pesa pekee uliyobakiza nilijibu ndio,waliangua kicheko kikubwa halafu nikaamuliwa kulala kifudifudi nikatii amri ya kwa speed ya mwanga,nikasikia wakinongonezana halafu nikasikia harufu ya sigara,sikuthubutu kuinua kichwa bali uhai na marinda yangu nilimuachia Allah

Ikawa kama utani ikapita dakika tano bila kupigwa hata Kofi,Mara dakika 10 mara masaa nikaona ufala nikajigeuza taratibu du sikuamini macho yangu hakukuwa na MTU

Nikachukua suruari yangu kuipekua nikakuta ile mia tatu majambazi wamesepa nayo du kweli majambazi hayaachi kitu mpaka mia 3 wameshindwa kuniachia
Aiseee usikute ulikuwa mchongo wa rafiki yako?
 
....
FB_IMG_1647531975784.jpg
 
Unaweza fikiri labda ni utani lakini hili ni tukio lililonipata miaka zaidi ya kumi wakati nikiwa mfanyabiashara wa samaki

Nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumanne nikiwa nimeenda kuuza samaki kijiji kimoja cha huko Muleba nikiwa mimi na mjomba wangu

Kijiji hicho kilisifika kwa wizi & ujambazi hali iliyowafanya wafanyabiashara wengi kutopenda kufanyiapo biashara,nakumbuka wakati mimi na mjomba wangu tumepanga kwenda kuuza samaki kijijini humo tulionywa sana na wafanyabiashara wenzetu lakini kwa sababu ya tamaa tulilazimika kutia pamba masikioni na kuazimia kwenda kuuza samaki kijiji humo

Kuifanya story ndefu kuwa fupi siku hiyo ya jumnne tulikwenda kijijini humo na mizigo ya kutosha,tuliuza samaki zetu tena kwa kung'ang'aniwa,nakumbuka nilipata zaidi ya sh laki 6 & ½ na mjomba wangu alipata zaidi ya laki 5

Baada ya biashara tuliamua sasa tufanye utaratibu wa kurudi nyumbani lakini wakati tunasubiria usafiri nilikutana na rafiki yangu wa utotoni ambae nilikuwa na miaka zaidi ya 8 bila kumuona,alinishawishi sana nikalale nyumbani kwake halafu kesho yake yaani j5 ningeendelea na safari basi kwa kuwa nilimheshimu sana huyu mchizi wangu wa utotoni nilimkubalua ila kwa sababu ya kuhofia kupukutishwa ile pesa yangu ya mauzo nilimkabidhi mjomba wangu ambae yeye aliendelea kusubiria usafiri kwa sababu aligoma Kata kata kulala kijijini humo ambako kwa enzi hizo ilikuwa ni kama paradiso ya majambazi

Nilifika nyumbani kwa rafiki yangu ambae alikuwa akiishi nyumba ya shule,nilioga tukala tukapiga story mpaka zikatukinaisha akanionesha chumba cha kulala nikalala

Nilipata usingizi bila shida ila shida sasa ilianza nikiwa usingizini,nahisi kama vile ilikuwa ni saa 9 na madakika usiku nilikurupuka ghafla baada ya kuhisi kama mlango wa chumba nilichokuwa nimelala umevunjwa

Kabla ya hata sijajinyoosha nilimulikwa na mwanga mkali sana wa yale matochi ya kizamani huku nikipewa amri ya kukabidhi mauzo yote ya pesa niliyouza samaki au wanifanyie kitu kibaya kabisa kuwahi fanyiwa binadamu mwenye damu & nyama

Niliwaeleza ukweli wangu kuwa pesa yote nilimkabidhi mjomba wangu ambae kwa sasa atakuwa ameshaondoka humo kijijini

Nashukuru hawakunipiga ila wawili walienda wakanongonezana maneno ambayo sikuyasikia vizuri kisha ikatolewa amri ya kunipekua

Wale majambazi kiukweli kama ni kuwa na nuksi walikuwa na nuksi kwelikweli walikuta na shilingi mia tatu tu,ninaposema mia tatu namaanisha mia mia 3(300) tena ikiwa kwenye kamfuko kale kadogo ka jeans.Kumbe wakati namkabidhi mjomba ile pesa ya mauzo nilisahau kuchomoa pesa kidogo ya nauli kutokana na kunogewa na mazungumzo ya yule mchizi wangu wa utotoni

Walinitazama sana usoni kisha wakaniuliza dogo una uhakika hii ndio pesa pekee uliyobakiza nilijibu ndio,waliangua kicheko kikubwa halafu nikaamuliwa kulala kifudifudi nikatii amri ya kwa speed ya mwanga,nikasikia wakinongonezana halafu nikasikia harufu ya sigara,sikuthubutu kuinua kichwa bali uhai na marinda yangu nilimuachia Allah

Ikawa kama utani ikapita dakika tano bila kupigwa hata Kofi,Mara dakika 10 mara masaa nikaona ufala nikajigeuza taratibu du sikuamini macho yangu hakukuwa na MTU

Nikachukua suruari yangu kuipekua nikakuta ile mia tatu majambazi wamesepa nayo du kweli majambazi hayaachi kitu mpaka mia 3 wameshindwa kuniachia

Angalizo:asitokee mtu wa kuniuliza kuwa wakati majambazi wameniweka mtu kati rafiki yangu alikuwa wapi ?
Kaka jambazi alikuonea huruma ilibidi wakudunde kwa kuwasababishia usumbufu
 
Unaweza fikiri labda ni utani lakini hili ni tukio lililonipata miaka zaidi ya kumi wakati nikiwa mfanyabiashara wa samaki

Nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumanne nikiwa nimeenda kuuza samaki kijiji kimoja cha huko Muleba nikiwa mimi na mjomba wangu

Kijiji hicho kilisifika kwa wizi & ujambazi hali iliyowafanya wafanyabiashara wengi kutopenda kufanyiapo biashara,nakumbuka wakati mimi na mjomba wangu tumepanga kwenda kuuza samaki kijijini humo tulionywa sana na wafanyabiashara wenzetu lakini kwa sababu ya tamaa tulilazimika kutia pamba masikioni na kuazimia kwenda kuuza samaki kijiji humo

Kuifanya story ndefu kuwa fupi siku hiyo ya jumnne tulikwenda kijijini humo na mizigo ya kutosha,tuliuza samaki zetu tena kwa kung'ang'aniwa,nakumbuka nilipata zaidi ya sh laki 6 & ½ na mjomba wangu alipata zaidi ya laki 5

Baada ya biashara tuliamua sasa tufanye utaratibu wa kurudi nyumbani lakini wakati tunasubiria usafiri nilikutana na rafiki yangu wa utotoni ambae nilikuwa na miaka zaidi ya 8 bila kumuona,alinishawishi sana nikalale nyumbani kwake halafu kesho yake yaani j5 ningeendelea na safari basi kwa kuwa nilimheshimu sana huyu mchizi wangu wa utotoni nilimkubalua ila kwa sababu ya kuhofia kupukutishwa ile pesa yangu ya mauzo nilimkabidhi mjomba wangu ambae yeye aliendelea kusubiria usafiri kwa sababu aligoma Kata kata kulala kijijini humo ambako kwa enzi hizo ilikuwa ni kama paradiso ya majambazi

Nilifika nyumbani kwa rafiki yangu ambae alikuwa akiishi nyumba ya shule,nilioga tukala tukapiga story mpaka zikatukinaisha akanionesha chumba cha kulala nikalala

Nilipata usingizi bila shida ila shida sasa ilianza nikiwa usingizini,nahisi kama vile ilikuwa ni saa 9 na madakika usiku nilikurupuka ghafla baada ya kuhisi kama mlango wa chumba nilichokuwa nimelala umevunjwa

Kabla ya hata sijajinyoosha nilimulikwa na mwanga mkali sana wa yale matochi ya kizamani huku nikipewa amri ya kukabidhi mauzo yote ya pesa niliyouza samaki au wanifanyie kitu kibaya kabisa kuwahi fanyiwa binadamu mwenye damu & nyama

Niliwaeleza ukweli wangu kuwa pesa yote nilimkabidhi mjomba wangu ambae kwa sasa atakuwa ameshaondoka humo kijijini

Nashukuru hawakunipiga ila wawili walienda wakanongonezana maneno ambayo sikuyasikia vizuri kisha ikatolewa amri ya kunipekua

Wale majambazi kiukweli kama ni kuwa na nuksi walikuwa na nuksi kwelikweli walikuta na shilingi mia tatu tu,ninaposema mia tatu namaanisha mia mia 3(300) tena ikiwa kwenye kamfuko kale kadogo ka jeans.Kumbe wakati namkabidhi mjomba ile pesa ya mauzo nilisahau kuchomoa pesa kidogo ya nauli kutokana na kunogewa na mazungumzo ya yule mchizi wangu wa utotoni

Walinitazama sana usoni kisha wakaniuliza dogo una uhakika hii ndio pesa pekee uliyobakiza nilijibu ndio,waliangua kicheko kikubwa halafu nikaamuliwa kulala kifudifudi nikatii amri ya kwa speed ya mwanga,nikasikia wakinongonezana halafu nikasikia harufu ya sigara,sikuthubutu kuinua kichwa bali uhai na marinda yangu nilimuachia Allah

Ikawa kama utani ikapita dakika tano bila kupigwa hata Kofi,Mara dakika 10 mara masaa nikaona ufala nikajigeuza taratibu du sikuamini macho yangu hakukuwa na MTU

Nikachukua suruari yangu kuipekua nikakuta ile mia tatu majambazi wamesepa nayo du kweli majambazi hayaachi kitu mpaka mia 3 wameshindwa kuniachia

Angalizo:asitokee mtu wa kuniuliza kuwa wakati majambazi wameniweka mtu kati rafiki yangu alikuwa wapi ?
Jamaa yako aliuza ramani
 
Huyo sela wako aliuza. Lakin akawa hajui kama ulimpa uncle hela. Akataka akupige tukio
 
Sawa marinda hawakuyatumia lakini hata kuyagusa gusa tu walishindwa kweli? Majambazi maboya kweli hao
 
Unaweza fikiri labda ni utani lakini hili ni tukio lililonipata miaka zaidi ya kumi wakati nikiwa mfanyabiashara wa samaki

Nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumanne nikiwa nimeenda kuuza samaki kijiji kimoja cha huko Muleba nikiwa mimi na mjomba wangu

Kijiji hicho kilisifika kwa wizi & ujambazi hali iliyowafanya wafanyabiashara wengi kutopenda kufanyiapo biashara,nakumbuka wakati mimi na mjomba wangu tumepanga kwenda kuuza samaki kijijini humo tulionywa sana na wafanyabiashara wenzetu lakini kwa sababu ya tamaa tulilazimika kutia pamba masikioni na kuazimia kwenda kuuza samaki kijiji humo

Kuifanya story ndefu kuwa fupi siku hiyo ya jumnne tulikwenda kijijini humo na mizigo ya kutosha,tuliuza samaki zetu tena kwa kung'ang'aniwa,nakumbuka nilipata zaidi ya sh laki 6 & ½ na mjomba wangu alipata zaidi ya laki 5

Baada ya biashara tuliamua sasa tufanye utaratibu wa kurudi nyumbani lakini wakati tunasubiria usafiri nilikutana na rafiki yangu wa utotoni ambae nilikuwa na miaka zaidi ya 8 bila kumuona,alinishawishi sana nikalale nyumbani kwake halafu kesho yake yaani j5 ningeendelea na safari basi kwa kuwa nilimheshimu sana huyu mchizi wangu wa utotoni nilimkubalua ila kwa sababu ya kuhofia kupukutishwa ile pesa yangu ya mauzo nilimkabidhi mjomba wangu ambae yeye aliendelea kusubiria usafiri kwa sababu aligoma Kata kata kulala kijijini humo ambako kwa enzi hizo ilikuwa ni kama paradiso ya majambazi

Nilifika nyumbani kwa rafiki yangu ambae alikuwa akiishi nyumba ya shule,nilioga tukala tukapiga story mpaka zikatukinaisha akanionesha chumba cha kulala nikalala

Nilipata usingizi bila shida ila shida sasa ilianza nikiwa usingizini,nahisi kama vile ilikuwa ni saa 9 na madakika usiku nilikurupuka ghafla baada ya kuhisi kama mlango wa chumba nilichokuwa nimelala umevunjwa

Kabla ya hata sijajinyoosha nilimulikwa na mwanga mkali sana wa yale matochi ya kizamani huku nikipewa amri ya kukabidhi mauzo yote ya pesa niliyouza samaki au wanifanyie kitu kibaya kabisa kuwahi fanyiwa binadamu mwenye damu & nyama

Niliwaeleza ukweli wangu kuwa pesa yote nilimkabidhi mjomba wangu ambae kwa sasa atakuwa ameshaondoka humo kijijini

Nashukuru hawakunipiga ila wawili walienda wakanongonezana maneno ambayo sikuyasikia vizuri kisha ikatolewa amri ya kunipekua

Wale majambazi kiukweli kama ni kuwa na nuksi walikuwa na nuksi kwelikweli walikuta na shilingi mia tatu tu,ninaposema mia tatu namaanisha mia mia 3(300) tena ikiwa kwenye kamfuko kale kadogo ka jeans.Kumbe wakati namkabidhi mjomba ile pesa ya mauzo nilisahau kuchomoa pesa kidogo ya nauli kutokana na kunogewa na mazungumzo ya yule mchizi wangu wa utotoni

Walinitazama sana usoni kisha wakaniuliza dogo una uhakika hii ndio pesa pekee uliyobakiza nilijibu ndio,waliangua kicheko kikubwa halafu nikaamuliwa kulala kifudifudi nikatii amri ya kwa speed ya mwanga,nikasikia wakinongonezana halafu nikasikia harufu ya sigara,sikuthubutu kuinua kichwa bali uhai na marinda yangu nilimuachia Allah

Ikawa kama utani ikapita dakika tano bila kupigwa hata Kofi,Mara dakika 10 mara masaa nikaona ufala nikajigeuza taratibu du sikuamini macho yangu hakukuwa na MTU

Nikachukua suruari yangu kuipekua nikakuta ile mia tatu majambazi wamesepa nayo du kweli majambazi hayaachi kitu mpaka mia 3 wameshindwa kuniachia

Angalizo:asitokee mtu wa kuniuliza kuwa wakati majambazi wameniweka mtu kati rafiki yangu alikuwa wapi ?
Una bahati, kuna jamaa huko huko Mkoa wa Kagera aliponea chupu chupu kuchunwa ngozi, na yeye alienda kwa mishe zake akakutana na mshikaji waliyesoma naye. Basi jamaa akamuambia njoo ulale home, mshikaji akakubali wakaenda, baada ya hapo jamaa akamtembeza mitaani, sasa cha ajabu wakiwa mitaani akashangaa watu wanaonyosheana vidole, wanaongea vitu ambavyo havielewi. Baadaye jioni kwenye ki giza huyo jamaa yake akamuambia twende sehemu walivyoanza kwenda hiyo sehemu akashangaa mbona kama nje ya mji, wakataka kuchepuka kuingia kwenye migomba mshikaji akasema hapana mi huko siendi nimechoka turudi nikalale. Yule mwenyeji wake akasisitiza sana ila mshikaji akagoma, basi mwenyeji wake alikuwa na jamaa wengine wakasemezana kilugha “jamaa kastuka” alivyosikia hivyo akasisitiza wasiende huko, nasi mwenyeji muuaji akakubali wakarudi nyumbani. Ila mgeni hakulala kabisa mpaka ilivyofika asubuhi akaaga na kuondoka.
 
Back
Top Bottom