Sitasahau majambazi wenye siraha za moto walivyonipokonya mia 3

Jambazi na mchawi ndio watu wema Sana kwenye jamii mchana na wanasali Sana ila omba usiingie 18 zao usiku makatili zaidi ya nyoka
 
Tushafturu sasa hatuna pakwenda kama una stori nyingine we tupe tu
 
Simulizi yako ina mapungufu mengi

1.KWA nini hukubakisha nauli?

2.Hujatueleza rafiki yako aliishia wapi?
 
Simulizi yako ina mapungufu mengi

1.KWA nini hukubakisha nauli?

2.Hujatueleza rafiki yako aliishia wapi?
Rudia kusoma mkuu halafu kuhusu rafiki yangu nishatoa angalizo hapo mwishoni
 
Hiv muslim .. kwenu mfungo una maana gan.. maana huku mitaan naona ikifika saa 12 wanashindilia misos ya hatar zaid ya wanavyokula siku za kawaida
Sio kila anayefunga ni muislam au mkristo, wengine kila baada ya miezi mitano tunafunga yani hiyo ni schedule niliyojiwekea kwa ajili afya sio kitabu fulani wameandika mfunge
 
Sasa wewe uliogopa Siraha kwani hawakuwa na Silaha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…