SITASAHAU ; Mkesha wa mwaka mpya 2001.

Dah
Ule msitu ulitishia sana enzi hizo
Sasa hivi hauskiki kama zamani, naona yale mauzauza yameisha.
Karibu tena njombe[emoji112]
Asante sana mkuu, Njombe ndio nyumbani nimezaliwa na kukulia huko. Yaani ilikuwa ukitoka nje tuu ya nyumba unaona msitu ule pale.

Msitu ulikuwa unatisha kweli kweli, enzi hizo tukiagizwa fito shuleni Mdete basi tunajikusanya wanafunzi kundi tunaenda kwa Mzee Makinda mwenyewe kumuomba ruhusa ya kuzichuma.

Gone are those days, alikuwa na gobole lake hilo nasikia ndio alikuwa analitumia kwa wezi wake hasa wa matunda na ulanzi. Sasa hivi wamekata sana miti pamebaki peupe sana.
 
Huu Uzi nashuka nao mstari Kwa mstari najua tuuh lazima Kuna utamu wa vanilla(kama mtu akuliwa sijui)
 
Huu Uzi nashuka nao mstari Kwa mstari najua tuuh lazima Kuna utamu wa vanilla(kama mtu akuliwa sijui)
Mkuu huyo ambae angekula katoto ka miaka 8 lazima angekuwa na matatizo aisee.
Hata hivyo kama lingenitokea baya kwa Njombe ningechinjwa na kutolewa viungo ndio wanachofanya sana ubakaji sijausikia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…