BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Tulikuwa kwenye hafla moja ya kikazi hapo dar, maafsa wote tulialikwa kwenda kushiriki na kutoa hoja za kimijadala.
Nilikula suti yangu kali na moka za kuchongoka, huku kakitambi nacho mashallaaah, na nyuma nalo wowowo limo basi nikawa nanesa tu, Singida dodoma, Singida Dodoma, Weweeee.... Famchezo!
Basi tumeingia tukaanza kujadili na mengineyo, nikaagiza malta na mayai ya mbuni mawili. Niliyabugia kweli kweli, sijui ni ulaku ama ni nini, kwa kweli kwenye chakula nafukia haswa. MNIOMBEE!!
Baada ya nusu saa nikaanza kuona tumbo limebana sana, misuli imekaza hata kukaa nashindwa, nikibehua natoa harufu ya mayai viza, nikasema enheeeee.........
Nilibanwa tumbo ghafla nikahisi kama shuzi linatoka nikalibana, mara nikahisi kama kimba linataka kunibomoa FUTA, nikasema NOO.......nikabinua tako moja kisayansi nikajambAh taratiiibuuuu lakini kwa ujazo wa uhakika......
Hali ya hewa ilichafuka ghafla, watu wakaanza kukunja sura na kufoka kwa jazba, nikasema yesss.........nikabinuka sasa sawia kabisa matakoh yote manuuuu nikajifanya kama naokota kalamu nilibomoa shuzi la hela yote.
Ghafla nikadakwa na mlinzi, alininyanyua juu juu akanifurusha nje sijui alijuaje aisee??
Heshima yote ilishuka, nilikimbia nikaenda gongo la mboto kujificha.
Nilikula suti yangu kali na moka za kuchongoka, huku kakitambi nacho mashallaaah, na nyuma nalo wowowo limo basi nikawa nanesa tu, Singida dodoma, Singida Dodoma, Weweeee.... Famchezo!
Basi tumeingia tukaanza kujadili na mengineyo, nikaagiza malta na mayai ya mbuni mawili. Niliyabugia kweli kweli, sijui ni ulaku ama ni nini, kwa kweli kwenye chakula nafukia haswa. MNIOMBEE!!
Baada ya nusu saa nikaanza kuona tumbo limebana sana, misuli imekaza hata kukaa nashindwa, nikibehua natoa harufu ya mayai viza, nikasema enheeeee.........
Nilibanwa tumbo ghafla nikahisi kama shuzi linatoka nikalibana, mara nikahisi kama kimba linataka kunibomoa FUTA, nikasema NOO.......nikabinua tako moja kisayansi nikajambAh taratiiibuuuu lakini kwa ujazo wa uhakika......
Hali ya hewa ilichafuka ghafla, watu wakaanza kukunja sura na kufoka kwa jazba, nikasema yesss.........nikabinuka sasa sawia kabisa matakoh yote manuuuu nikajifanya kama naokota kalamu nilibomoa shuzi la hela yote.
Ghafla nikadakwa na mlinzi, alininyanyua juu juu akanifurusha nje sijui alijuaje aisee??
Heshima yote ilishuka, nilikimbia nikaenda gongo la mboto kujificha.