Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza poleni sana dada na masahibu yote yaliyowafika, na namshukuru Mungu kuwa hatimaye mmenyanyuka na kusonga mbele.. Kwa kweli mmeobarikiwa, kwani wanyanyasaji wengi ni wale walionyanyaswa udogoni wanapokuwa wakubwa wanalipa visasi. Kwa hiyo nyinyi Mungu kuwajaalieni uwezo kidogo na kuwakumbuka mayatima hiyo ni baraka kubwa. Endeleeni na Mungu atawasaidieni zaidi na zaidi.LD namshukuru Mungu kwa sasa tunajenga kituo cha watoto yatima kule kibamba!! hatuwezi kusahau!!
lakini bado mnasema akina mama ni watu wenye huruma. Ukweli ni kwamba akina mama wengi wapo kama huyo wifi yako
Hicho kikombe cha chai unakunywaga mwenyewe tuu??????? Ubarikiwe!!!!!!
Mungu ni mkuu hakuna linaloshindikana kwake. Wasamehe wote walio kukwaza kwa njia moja au nyingine kwa sababu mungu amekuinua kutoka kwenye unyonge. Kumbuka adui yako ni adui wa mungu mwachie mungu apambane nae, mungu amesema mpende adui yako, wewe wasamehe then utaona baraka za mungu zitakavyo kushukia. Mimi baba alifariki nikiwa darasa la saba nilipitia changamoto nyingi ila nilimtumaini mungu bila kuwa na kinyongo na mtu yeyote leo hii ni mtu mwenye thamani mbele ya jamii inayo ni zunguka. Nimefurahi sana ushuhuda wako, mungu anapo tubariki ni lizama tusimame na kushuhudia ili kila mwanadamu ajue mungu tunaye mwabudu ni mwema siku zote. Mungu akubariki na akupe roho ya kusamehe ili neema na baraka zake ziendeleekuwa juu yako.