Sitashaangaa FIFA au CAS wakaamua kufanya uchunguzi wa kuahirishwa kwa mechi ya Simba na Yanga kabla ya kutoa uamuzi

Sitashaangaa FIFA au CAS wakaamua kufanya uchunguzi wa kuahirishwa kwa mechi ya Simba na Yanga kabla ya kutoa uamuzi

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa kutumia tu akili ya kawaida, ni wazi kuahirishwa kwa hii, mechi sio jambo lililozuka tu, bali kuna uwezekano mkubwa lilikuwa ni tukio la kupangwa na ndio maana Simba wakagoma kisha baadae Bodi ya Ligi nao wakaja na uamuzi wa kuahirisha mechi(mpango mkakati).

Kwa msingi huo, FIFA au CAS watahitaji kuchunguza kwanza ili waweze kutoa uamuzi na hii ni kwasababu Bodi ya Ligi teyari imejiingiza katika huu mgogoro, vinginevyo lilikuwa ni jambo rahisi tu la kuangalia kanuni zinasemaje na kutoa uamuzi.

Maamuizi ya Bodi kuahirisha hii mechi sio tu yatafanya iwe ni vigumu kwa FIFA au CAS kutoa uamuzi, bali watahitaji kujua ni kwanini Bodi ya Ligi walifanya blunder kama ile.

Wanaostahili kuchunguzwa/kuhojiwaa
1.Uongozi wa Club ya Simba
2, Viongozi wa Bodi ya Ligi
3. Meneja wa uwanja
4. Walinzi wanaodaiwa kuwazuia Simba kuingia uwanjani
5.Viongozi wa club ya Yanga(watahojiwa kama mashahidi).

Adhabu inaweza kwenda kwa Simba pamoja na Bodi ya Ligi.

Nimemaliza.
 
Wajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.

Ukisoma content nzima imeandikwa kwanza kishabiki na imeegemea upande mmoja..ushabiki maandazi unaharibu vichwa Hadi thinking capacity inakua ni ndogo mno...

Nilitamani nikujibu kwa hoja ila naona hapa ntakua najisumbua Bure kumuelimisha mjinga/shabiki oyaoya.
 
Kamanda huku sio kama kwa CCM kwa chadema utapoteza heshima yako bure

Hao CAS na FIFA wakija watapokelewa na ma file yenye video za watu kujidunga masindano

Hao unaowaona wanataka haki wana kando za kutosha mzee
 
Wajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.

Ukisoma content nzima imeandikwa kwanza kishabiki na imeegemea upande mmoja..ushabiki maandazi unaharibu vichwa Hadi thinking capacity inakua ni ndogo mno...

Nilitamani nikujibu kwa hoja ila naona hapa ntakua najisumbua Bure kumuelimisha mjinga/shabiki oyaoya.
Bodi ya Ligi walifanya uamuzi wa kipuuzi kabisa. Swali ni je, nini kiliwasukuma kufanya maamuzi yale? Kanuni gani na sababu zipi ziliwapa uhalali wa kuahirisha mechi iliyokuwa imebakiza masaa tu ianze?Kulikuwa na udharura gani au sababu ipi yenye uzito wa kiwango hicho?
 
Kwa kutumia tu akili ya kawaida, ni wazi kuahirishwa kwa hii, mechi sio jambo lililozuka tu, bali kuna uwezekano mkubwa lilikuwa ni tukio la kupangwa na ndio maana Simba wakagoma kisha baadae Bodi ya Ligi nao wakaja na uamuzi wa kuahirisha mechi(mpango mkakati).

Kwa msingi huo, FIFA au CAS watahitaji kuchunguza kwanza ili waweze kutoa uamuzi na hii ni kwasababu Bodi ya Ligi teyari imejiingiza katika huu mgogoro, vinginevyo lilikuwa ni jambo rahisi tu la kuangalia kanuni zinasemaje na kutoa uamuzi.

Maamuizi ya Bodi kuahirisha hii mechi sio tu yatafanya iwe ni vigumu kwa FIFA au CAS kutoa uamuzi, bali watahitaji kujua ni kwanini Bodi ya Ligi walifanya blunder kama ile.

Wanaostahili kuchunguzwa/kuhojiwaa
1.Uongozi wa Club ya Simba
2, Viongozi wa Bodi ya Ligi
3. Meneja wa uwanja
4. Walinzi wanaodaiwa kuwazuia Simba kuingia uwanjani
5.Viongozi wa club ya Yanga(watahojiwa kama mashahidi).

Adhabu inaweza kwenda kwa Simba pamoja na Bodi ya Ligi.

Nimemaliza.
Athali nyingine ni TFF kuto aminika

Afcon je?
 
Kwa kutumia tu akili ya kawaida, ni wazi kuahirishwa kwa hii, mechi sio jambo lililozuka tu, bali kuna uwezekano mkubwa lilikuwa ni tukio la kupangwa na ndio maana Simba wakagoma kisha baadae Bodi ya Ligi nao wakaja na uamuzi wa kuahirisha mechi(mpango mkakati).

Kwa msingi huo, FIFA au CAS watahitaji kuchunguza kwanza ili waweze kutoa uamuzi na hii ni kwasababu Bodi ya Ligi teyari imejiingiza katika huu mgogoro, vinginevyo lilikuwa ni jambo rahisi tu la kuangalia kanuni zinasemaje na kutoa uamuzi.

Maamuizi ya Bodi kuahirisha hii mechi sio tu yatafanya iwe ni vigumu kwa FIFA au CAS kutoa uamuzi, bali watahitaji kujua ni kwanini Bodi ya Ligi walifanya blunder kama ile.

Wanaostahili kuchunguzwa/kuhojiwaa
1.Uongozi wa Club ya Simba
2, Viongozi wa Bodi ya Ligi
3. Meneja wa uwanja
4. Walinzi wanaodaiwa kuwazuia Simba kuingia uwanjani
5.Viongozi wa club ya Yanga(watahojiwa kama mashahidi).

Adhabu inaweza kwenda kwa Simba pamoja na Bodi ya Ligi.

Nimemaliza.
Sijakuelewa! umesema FIFA au CAS watahitaji kuchunguza kwanza ili watoe uamuzi......😳!

1. Kwani kuna taarifa yoyote au barua ambayo wamepelekewa mpk ss?

2. Ni muda gani FIFA au CAS huwachukua mpk kuanza kulifanyia kazi shauri lililopelekwa mezani kwao?
 
Kwa kutumia tu akili ya kawaida, ni wazi kuahirishwa kwa hii, mechi sio jambo lililozuka tu, bali kuna uwezekano mkubwa lilikuwa ni tukio la kupangwa na ndio maana Simba wakagoma kisha baadae Bodi ya Ligi nao wakaja na uamuzi wa kuahirisha mechi(mpango mkakati).

Kwa msingi huo, FIFA au CAS watahitaji kuchunguza kwanza ili waweze kutoa uamuzi na hii ni kwasababu Bodi ya Ligi teyari imejiingiza katika huu mgogoro, vinginevyo lilikuwa ni jambo rahisi tu la kuangalia kanuni zinasemaje na kutoa uamuzi.

Maamuizi ya Bodi kuahirisha hii mechi sio tu yatafanya iwe ni vigumu kwa FIFA au CAS kutoa uamuzi, bali watahitaji kujua ni kwanini Bodi ya Ligi walifanya blunder kama ile.

Wanaostahili kuchunguzwa/kuhojiwaa
1.Uongozi wa Club ya Simba
2, Viongozi wa Bodi ya Ligi
3. Meneja wa uwanja
4. Walinzi wanaodaiwa kuwazuia Simba kuingia uwanjani
5.Viongozi wa club ya Yanga(watahojiwa kama mashahidi).

Adhabu inaweza kwenda kwa Simba pamoja na Bodi ya Ligi.

Nimemaliza.
Ngoma inogilrnmkuuu BODI ya LIGI na
Simba walikuwa kama Adam
Ukila tunda utakuwa kama Mungu

Mwisho akashtukia Yuko uchii

Ngoja niseme yoteee
 
Ile barua mlioindikia caf kuhusi goli mlilonyimwa dhidi ya mamelodi mlijibiwa?

Anyway wenye akili ni wawili tu upande huo
You have to learn to claim what is yours pale haki yako ikikiukwa haijalishi kama utaipewa au la Kwa maana unapodai haki yako unatuma ujumbe kuwa umejua kuwa umeonewa na siku ingine hawatarudia kosa hilo. Kukaa kimya kwa kuonewa ni kuruhusu kuonewa milele, fundisha wanao kudai haki zao kuanzia kwako ili wakadai huko nje pia.
Kwa akili yako unadhani Yanga watanyimwa tena goli kama la Aziz Ki ikiokea tena kwa jinsi Afrika nzima ilivyojadili lile goli?

Yanga wana haki kudai points 3 na goli 3 kwa Simba kukimbia mechi ili iwe fundisho kwa wahuni wa kolowizard na tff kuichezea Yanga na tff wakishindwa kutoa haki caf na fifa watahusika ili tujue nani mwenye haki, makolo mkishinda kesi uto tutacheza derby ila somo litakuwa limewaingia TFF na makolo kuwa Yanga Iko serious na ligi na sio kutuletea uhuni wenu makolo
 
You have to learn to claim what is yours pale haki yako ikikiukwa haijalishi kama utaipewa au la Kwa maana unapodai haki yako unatuma ujumbe kuwa umejua kuwa umeonewa na siku ingine hawatarudia kosa hilo. Kukaa kimya kwa kuonewa ni kuruhusu kuonewa milele, fundisha wanao kudai haki zao kuanzia kwako ili wakadai huko nje pia.
Mlijibiwa nini?
Mlikurupuka bila kufanya uchunguzi wowote ndio maana hakukuwa na any positive impact.

Same scenario mnata kuirudia.
Elimu elimu elimu ndio shida kubwa hapo yanga.
 
Salary Slip rudi kwenye siasa mzee huku naona kama uko empty.
Hao CAS na FIFA siyo mamlaka zinazokurupuka tu kuingilia mambo ya ndani ya FA flani ni tofauti na huko kwenye siasa zenu
 
Sijakuelewa! umesema FIFA au CAS watahitaji kuchunguza kwanza ili watoe uamuzi......😳!

1. Kwani kuna taarifa yoyote au barua ambayo wamepelekewa mpk ss?

2. Ni muda gani FIFA au CAS huwachukua mpk kuanza kulifanyia kazi shauri lililopelekwa mezani kwao?
CAS ni chombo Cha usuruhishi kiko chini ya FIFA. Court of Arbitration for sports
 
Back
Top Bottom