Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado anavuta hela kutoka kuleeee. Kumbuka Aikael ni Mchaga; ataporomoka huku kashika Fuko la pesaHabari Wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyosema, hicho ndio kitu kinachoweza kutokea wakati wowote kuanzia sasa, ila uwezekano ni kujitoa dakika za jioni.
Ataongea mengi na atakuja na ngonjera za kuwa pia kuna watu wengine maarufu ambao nao wamemtaka apumzike halafu atamalizia na hotuba ya Lema kuwa ndio hasa imemfanya aamua kutogombea.
Soma Pia: Lema: Nikigundua kwamba Kumuunga mkono Lissu imewakwaza nitakuwa mwanaharakati huru na sitaweza kuwa mwana CCM
Pia, msishangae kusikia mmoja wa viongozi wa dini maarufu nae akajitokeza na kuja na hoja za kumtaka Mbowe ajiuzulu na hivi ndivyo ambavyo Mbowe atakuwa ameokolewa na watu wake wa karibu asiadhirike kwenye sanduku la kura.
Hili lisipotekea, Plan B itakuwa ni kuvuruga uchaguzi kwa fujo za kutengeneza siku ya uchaguzi.
Defender za kusambaratisha watu nazo ha hazitakuwa mbali zikisubiri muda ufike.
Umenikumbusha movie ya the GodfatherMbowe this, Mbowe that.
Lema kamakiza kila kila kitu, sidhani kama Mbowe na timu yae wanaweza kujibu au kujiteteaHabari Wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyosema, hicho ndio kitu kinachoweza kutokea wakati wowote kuanzia sasa, ila uwezekano ni kujitoa dakika za jioni.
Ataongea mengi na atakuja na ngonjera za kuwa pia kuna watu wengine maarufu ambao nao wamemtaka apumzike halafu atamalizia na hotuba ya Lema kuwa ndio hasa imemfanya aamua kutogombea.
Soma Pia: Lema: Nikigundua kwamba Kumuunga mkono Lissu imewakwaza nitakuwa mwanaharakati huru na sitaweza kuwa mwana CCM
Pia, msishangae kusikia mmoja wa viongozi wa dini maarufu nae akajitokeza na kuja na hoja za kumtaka Mbowe ajiuzulu na hivi ndivyo ambavyo Mbowe atakuwa ameokolewa na watu wake wa karibu asiadhirike kwenye sanduku la kura.
Hili lisipotekea, Plan B itakuwa ni kuvuruga uchaguzi kwa fujo za kutengeneza siku ya uchaguzi.
Defender za kusambaratisha watu nazo ha hazitakuwa mbali zikisubiri muda ufike.
Una mbinulia nani midomo binti?Na bado...
😏😏