Sitashangaa kumsikia Mbowe akisema, baada ya kumsikiliza Lema, nimetafakari na kuamua kujitoa kugombea uenyekiti wa CHADEMA

Bado anavuta hela kutoka kuleeee. Kumbuka Aikael ni Mchaga; ataporomoka huku kashika Fuko la pesa
 
Lema kamakiza kila kila kitu, sidhani kama Mbowe na timu yae wanaweza kujibu au kujitetea
 
Mungu ana kawaida ya kuwadhalilisha watu wanafiki kabla ya kuwaangusha.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…