Sitashangaa kuona Polisi wakisindikiza maandamano ya CHADEMA badala ya kuyaingilia

Sitashangaa kuona Polisi wakisindikiza maandamano ya CHADEMA badala ya kuyaingilia

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Moja ya mbinu ya CCM ni kutumia propaganda kuharibu mipango ya CHADEMA na hata kwenye maandamano wamekuwa na hiyo tabia lengo ni kuhakikisha maandamano hayafanikiwi..

Kwa msingi huo, hata hawa Polisi tunaoambiwa wamesambaa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam, huenda lengo kuu ni kutisha tu watu wasijitokeze kwenye maandamano na si kuingilia maandamano.

Hivyo, msishangae kuona Polisi wanasindikiza waandamanaji hiyo Jumatatu ya tarehe 23/09/2024.

Nimemaliza.

Pia soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
 
Moja ya mbinu ya CCM ni kutumia propaganda kuharibu mipango ya CHADEMA na hata kwenye maandamano wamekuwa na hiyo tabia lengo ni kuhakikisha maandamano hayafanikiwi..

Kwa msingi huo, hata hawa Polisi tunaoambiwa wamesambaa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam, huenda lengo kuu ni kutisha tu watu wasijitokeze kwenye maandamano na si kuingilia maandamano.

Hivyo, msishangae kuona Polisi wanasindikiza waandamanaji hiyo Jumatatu ya tarehe 23/09/2024.

Nimemaliza.
Mzee Mbowe na genge lake (Viongozi) kesho wasiruhusiwe kutoka nje ya uzio wa nyumba zao ili kuhakikish usalama wa nchi
 
Nimeona taarifa Baraza la wanawake Chadema (Bawacha) wanasema watahudhuria maandamano. Hawa ni muhimu sana.
Kweli kabisa wanawake ni muhimu sana kwenye maandamano, hivi kweli polisi watathubutu kuwapiga virungu akina mama?
 
Polisi wa Tanzania wanapenda sana kutisha Wananchi
Maandamano yatafanyika Dar es Salaam ila nashangaa huku mkoan Kwangu kuna Gari za Polisi zizunguka mtaani zmefungwa bendera nyekundu
 
Maandamano ya 23 September ni ya amani, hatajeruhiwa hata mende.
 
Moja ya mbinu ya CCM ni kutumia propaganda kuharibu mipango ya CHADEMA na hata kwenye maandamano wamekuwa na hiyo tabia lengo ni kuhakikisha maandamano hayafanikiwi..

Kwa msingi huo, hata hawa Polisi tunaoambiwa wamesambaa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam, huenda lengo kuu ni kutisha tu watu wasijitokeze kwenye maandamano na si kuingilia maandamano.

Hivyo, msishangae kuona Polisi wanasindikiza waandamanaji hiyo Jumatatu ya tarehe 23/09/2024.

Nimemaliza.
Mmm usiwadanganye wenziohawa jamaa wamepania kwanza mpaka ikifika hiyo jumatatu POLISI wengi watakuwa wamechoka na mtu akichoka huwa anachukua maamuzi mabovu sana. Mimi ni mshauri Mbowe aitishe kikao cha Dharula kesho Airishe Maandamano, waweke nguvu mahakamani kwenye kesi ya Bonifasi Jakobo
 
Mmm usiwadanganye wenziohawa jamaa wamepania kwanza mpaka ikifika hiyo jumatatu POLISI wengi watakuwa wamechoka na mtu akichoka huwa anachukua maamuzi mabovu sana. Mimi ni mshauri Mbowe aitishe kikao cha Dharula kesho Airishe Maandamano, waweke nguvu mahakamani kwenye kesi ya Bonifasi Jakobo
Ushauri wako ni sawa na nguvu za giza.
 
Moja ya mbinu ya CCM ni kutumia propaganda kuharibu mipango ya CHADEMA na hata kwenye maandamano wamekuwa na hiyo tabia lengo ni kuhakikisha maandamano hayafanikiwi..

Kwa msingi huo, hata hawa Polisi tunaoambiwa wamesambaa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam, huenda lengo kuu ni kutisha tu watu wasijitokeze kwenye maandamano na si kuingilia maandamano.

Hivyo, msishangae kuona Polisi wanasindikiza waandamanaji hiyo Jumatatu ya tarehe 23/09/2024.

Nimemaliza.
hekima inaelekeza wafanye hivyo, wawasindikize tu hadi mwisho basi. wala hakuna atakayeleta fujo mtaani.
 
Hapo kuna kitu national kwa mbali hivi hawa askari wote hawa wameacha familia zao na kuja kufanya Doria huku Dar!, Je, wamelipwa? Kama majibu ni hapana basi hizo hasira zao kuna mahali watazimalizia.
Ngoma draw watakutana na walala hoi wenzao na patachimbika kila mmoja akiwaza alivyo lost lostika.
 
Sawa tarehe 23 test umeme kwa ulimi
 
Hapo kuna kitu national kwa mbali hivi hawa askari wote hawa wameacha familia zao na kuja kufanya Doria huku Dar!, Je, wamelipwa? Kama majibu ni hapana basi hizo hasira zao kuna mahali watazimalizia.
Ngoma draw watakutana na walala hoi wenzao na patachimbika kila mmoja akiwaza alivyo lost lostika.
afadhali wameongezapo kamzunguko ka pesa hapa bongo, manake si watakaa guest house, au watalala barabarani, na wataungisha migahawa pia.
 
Back
Top Bottom