Sitashangaa kuzuiwa kwa Press ya Chadema ikawa ajenda kubwa kuliko mkutano wa Nishati; Watu wanapenda mambo yasiyo na tija

Sitashangaa kuzuiwa kwa Press ya Chadema ikawa ajenda kubwa kuliko mkutano wa Nishati; Watu wanapenda mambo yasiyo na tija

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mitandao ya kijamii imeanza kusambaza kwa kasi taarifa za kuzuiwa kwa mkutano wa Mnyika. Mjadala umeanza kupamba moto na taarifa za mkutano wa Nishati zimefifishwa.

Je tunaamani na kizazi hiki kinachopenda kujadili na kusambaza taarifa ndogo ndogo kuliko taarifa za maendeleo ya bara la Afrika? Lakini Polisi awaoni kwamba walichofanya kinabadili mindset za jamii kutoka kusikiliza yanayoendelea kwenye mkutano waanze kujadili chadema?

Kimataifa pia upo uwezekano ukisearch taarifa za Tanzania ukajikuta unapata taarifa za CHADEMA kuliko taarifa za mkutano wa Nishati. Mara nyingi nyenzo za mawasiliano ikiwemo Google anakuletea the most discussed agenda kwenye eneo husika hivyo inaweza ikawa vigumu kupata taarifa na videos nzuri za mkutano wa Nishati.

Mawasiliano kwa umma ni taaluma ambayo wanataaluma wasipoweza kuchanga vizuri karata kila wakati habari zao zitamezwa na kuondoka kwenye mijadala.
 
🎺🥁 Chadema Chadema 🥁🎺 People's power🥁🎺
 
Mitandao ya kijamii imeanza kusambaza kwa kasi taarifa za kuzuiwa kwa mkutano wa Mnyika. Mjadala umeanza kupamba moto na taarifa za mkutano wa Nishati zimefifishwa.

Je tunaamani na kizazi hiki kinachopenda kujadili na kusambaza taarifa ndogo ndogo kuliko taarifa za maendeleo ya bara la Afrika? Lakini Polisi awaoni kwamba walichofanya kinabadili mindset za jamii kutoka kusikiliza yanayoendelea kwenye mkutano waanze kujadili chadema?

Kimataifa pia upo uwezekano ukisearch taarifa za Tanzania ukajikuta unapata taarifa za CHADEMA kuliko taarifa za mkutano wa Nishati. Mara nyingi nyenzo za mawasiliano ikiwemo Google anakuletea the most discussed agenda kwenye eneo husika hivyo inaweza ikawa vigumu kupata taarifa na videos nzuri za mkutano wa Nishati.

Mawasiliano kwa umma ni taaluma ambayo wanataaluma wasipoweza kuchanga vizuri karata kila wakati habari zao zitamezwa na kuondoka kwenye mijadala.
🚮🚮 Kwani Mwenyekiti anasemaje?

Mission 300 ni mkutano wa heavyweights sio nyumbu wa Chadomo 😁😁
 
Siku mtu mweusi hasa mtanzania akijitambua anakwenda kufanya makubwa duniani ila kwa kuwa mifumo imewafunga akili huwez ona kilichopo
 
Sa huo mkutano wa nishati una tija gn ule ugawaji wa mitungi ya gesi kwa mamantilie ndo utasaidia nishati safi afrika hii aisee upuuzi mwngne bhana
 
🚮🚮 Kwani Mwenyekiti anasemaje?

Mission 300 ni mkutano wa heavyweights sio nyumbu wa Chadomo 😁😁
Sa huo mkutano wa nishati una tija gn ule ugawaji wa mitungi ya gesi kwa mamantilie ndo utasaidia nishati safi afrika hii aisee upuuzi mwngne bhana
 
🚮🚮 Kwani Mwenyekiti anasemaje?

Mission 300 ni mkutano wa heavyweights sio nyumbu wa Chadomo 😁😁
Ni rahisi tu mkutano wafanye na chadema wapge conference yao tuone nani zaidi npo huku kanda ya ziwa huku watu hawajui nini knaendelea khs hao majizi huko
 
Tatizo la afrika mikutano.na.maazimio ni.mengi.na.hayana.uhalisia.kwa.wananchi wa kawaida.

Gesi kg 15 shs 58000 unadhani.watu.wataacha.kupikia kuni kweli si masihara.hayo
 
Huu mikutano hauna tija yeyote.Huu mikutano siyo mara ya kwanza kufanyika lakini hicho wanachoongelea Huwa hakitekelezeki Kwa sababu ya fedha.Yaani Huwa wanaongea tu kuwa watu watumie nishati safi lakini kumwezesha ili watu watumie kwa maana ya kutoa pesa Huwa hawawezi zaidi wataongea porojo tu bila utekelezaji.
 
Mitandao ya kijamii imeanza kusambaza kwa kasi taarifa za kuzuiwa kwa mkutano wa Mnyika. Mjadala umeanza kupamba moto na taarifa za mkutano wa Nishati zimefifishwa.

Je tunaamani na kizazi hiki kinachopenda kujadili na kusambaza taarifa ndogo ndogo kuliko taarifa za maendeleo ya bara la Afrika? Lakini Polisi awaoni kwamba walichofanya kinabadili mindset za jamii kutoka kusikiliza yanayoendelea kwenye mkutano waanze kujadili chadema?

Kimataifa pia upo uwezekano ukisearch taarifa za Tanzania ukajikuta unapata taarifa za CHADEMA kuliko taarifa za mkutano wa Nishati. Mara nyingi nyenzo za mawasiliano ikiwemo Google anakuletea the most discussed agenda kwenye eneo husika hivyo inaweza ikawa vigumu kupata taarifa na videos nzuri za mkutano wa Nishati.

Mawasiliano kwa umma ni taaluma ambayo wanataaluma wasipoweza kuchanga vizuri karata kila wakati habari zao zitamezwa na kuondoka kwenye mijadala.
Kila mtu angeshinda mechi zake. Nishati wangeendelea na Chadema nao wangerendelea. Halafu walaji wa habari wangeamua nini wachukue.
 
Back
Top Bottom