Sitashangilia taifa stars

Mimi ntashabikia timu anayochezea yule WINGBACK - WADADA
 
Tumekustukia wewe ni mganda unayejifanya mTZ na umetumwa kama kikaragosi, ki puppet, mamluki eti kuja kutuvuruga, hutofanikiwa kamwe na mganda hatoki pale kwa Mkapa. Kwendraaaa mwana kwendraaaa. TZ kwanza upuuzi baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michezo inafanya Nchi ijulikane na baadhi yao kupata kipato kwa Nchi kama Tanzania inatakiwa ifanye vizuri kwenye soka ili kutangaza vivutio vilivyopo vya utalii bila gharama yeyote...ni kwamba tumelala sana ndio maana hiyo password hatuna...nilichoshangaa ni boxer na Tshabalala kutoitwa Stars huyu Amunike na watu wake sijui wanamaanisha nini..
 
Hata mimi sitaenda eti makonda ndiyo muhusika mkuu wa kuleta ushindi
 
Kwani wakishinda ameshinda nan wakina samatta au bashite? Nadhan ni waliopo on pitch battle ...yaani usishangilie starz kisa wanasiasa huo ni wazimu...by the way kama tukifanikiwa kwenda afcon vijana wetu kina mkude ...feitoto wanaweza kupata Tim za nje..... Chukia siasa Ila usichukie soka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wale bongo bongo movie ndo wamewekwa?mzee kibadeni ,Sunday manara na wachezaji waliocheza final kule Nigeria hawajawaona kweli?eti wamemuweka shilole duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…