Sitashindwa tena kufuga dread kuanzia leo

Sitashindwa tena kufuga dread kuanzia leo

Leo tarehe 1/1/2024
Nimenyoa dongo na kujiapiza kuwa sitanyoa nywele zangu

Napenda sana kuwa na Rasta lakini nimekuwa nikipata upinzani kutoka kwa mke wangu, ndugu na baadhi ya wanajamii hivo nikijikuta nanyoa tu mara kadhaa

Nikiwa na dread za miaka miwili upinzani huibuka

Sijui ndugu huwa mnawezaje huu upinzani mfano mke wako hapendi muonekane wako na kila siku analalamika tu

Mungu nisaidie nisije kupata wazo la kunyoa nisilipate tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una mishe zako fuga yaani biashara zako hata hivyo jamii yetu inajua marasta ni uhuni kutokana wengi kuwa hivyo so jiandae kutengwq kidogo mwanzoni

Kama umeajiriwa office ya watu hebu usifuge huo uchafu kichwani sawa boss atafukuza haraka sana hasa office za maana
Pia ukifuga marasta jiandae kuto heshimika mtaanin utaonekana tu mvuta bangi na kama huna hela ndo kabisa watahisi teja


Bichwa ni lako kufuga au kuto fuga juu yako
 
Kama lengo lako ni ubishi sawa, ila jamii ya Kitanzania rasta zimekubalika Kwa wanawake, lakini Kwa wanaume inabidi uwe independent.

Nioneshe Rasta mmoja tu kwenye ofisi za serikali Tanzania nakuwekea dau la million moja mezani.
Wapo wengi tu kuna vijana niliwaona TRA pale wana rasta
Kuna Doctor pale Temeke ana Rasta

Naona wengi wanabadilika kimtazamo
Rasta ni mtindo wa nywele wala havihusiani na tabia wala hulka ya mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una mishe zako fuga yaani biashara zako hata hivyo jamii yetu inajua marasta ni uhuni kutokana wengi kuwa hivyo so jiandae kutengwq kidogo mwanzoni

Kama umeajiriwa office ya watu hebu usifuge huo uchafu kichwani sawa boss atafukuza haraka sana hasa office za maana
Pia ukifuga marasta jiandae kuto heshimika mtaanin utaonekana tu mvuta bangi na kama huna hela ndo kabisa watahisi teja


Bichwa ni lako kufuga au kuto fuga juu yako
Hiyo ya kuona watu wananichukuliaje ndo ilisababisha nanyoa dread zangu za miaka mitatu

Mara hii sirudii kosa
Mtu anichukulie atavopenda
Me ndo najijua,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Being rastafarian (Dread man) it's a spiritual thing. maamuzi na uvumilivu. Utulivu na imani. Peace, happiness, and love. No matter what people say about you, just be yourself and fight to be you. Coz even if you're not a dreadman you can't stop their views, expectations, mindsets or thoughts. Shujaa kwa walimwengu ni yule anaefanikiwa sio yule anaefeli kwa kujaribu.

AFRICA let it be. And we're all Africans.

Culture of Africa.
IMG_20201028_181135_3.jpg
 
Kama lengo lako ni ubishi sawa, ila jamii ya Kitanzania rasta zimekubalika Kwa wanawake, lakini Kwa wanaume inabidi uwe independent.

Nioneshe Rasta mmoja tu kwenye ofisi za serikali Tanzania nakuwekea dau la million moja mezani.
Polisi hasa hv wako wengi sana na wanaruhusiwa kujibrand waendane na mazingira wasijulikane
 
Inanishangaza sana kuona kuona kuwa watu hasa Tanzania wanaweka rasta na ukiwauliza rasta zinamaanisha nini hata hawajui kabisa. Na wengine wanafika hat akuitwa au kujiita rasta flani ilhali hawajui lolote juu ya rastafarian.
 
Being rastafarian (Dread man) it's a spiritual thing. maamuzi na uvumilivu. Utulivu na imani. Peace, happiness, and love. No matter what people say about you, just be yourself and fight to be you. Coz even if you're not a dreadman you can't stop their views, expectations, mindsets or thoughts. Shujaa kwa walimwengu ni yule anaefanikiwa sio yule anaefeli kwa kujaribu.

AFRICA let it be. And we're all Africans.

Culture of Africa.View attachment 2861115
rastafarian is culture ya kiafrika. rastafarian sio culture ni religion.
 
Back
Top Bottom