Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Wakati huo huo upande wa pili wanamchukua Lowassa tenaKwa kuwa ndio ule weledi wa kitanzania unaokumbatiwa na wanakijani ataweza kupewa nafasi hiyo kwa hisani ya dola na vyombo saidizi kama kawaida yao mambo ya kawa bamubamu/ msuano.
Sawa mjumbe, ila hapo kwenye chama 'cha mungu' umekufuru kwa imani yangu... labda kama umeandika kwa dhihakaAlibadili jina kwa tangazo maalum , kutoka Kisandu hadi hili jina jipya , kuhusu dishi kuyumba inawezekana , maana aliwahi kusaliti Chadema , na kama unavyojua ukisaliti kile chama cha Mungu laana haiwezi kukuacha
Anayeweza kuhukumu ni Mungu pekeeSawa mjumbe, ila hapo kwenye chama 'cha mungu' umekufuru kwa imani yangu... labda kama umeandika kwa dhihaka
🥲 🥲 🥲alisema ana koneksheni ya kuoa mtoto wa obama
Huyu siyo mtemi Deo Kisandu kweli?Don Kama Don ,
Naona mwezi upo gizani.
Huwa anaibuka baada ya miezi 5Alibadili jina kwa tangazo maalum , kutoka Kisandu hadi hili jina jipya , kuhusu dishi kuyumba inawezekana , maana aliwahi kusaliti Chadema , na kama unavyojua ukisaliti kile chama cha Mungu laana haiwezi kukuacha
Hawezi kugombeaMtemi Nalimi Vipi 2025 utagombea upresident
Hatari sn🤣🤣🤣🤣tangu alivotoka selo kapunguza story zake.....
Mkuu usihangaike na hao mbumbumbu wanajionaga ni watu flani hivi spesho sana kuliko wengineSawa mjumbe, ila hapo kwenye chama 'cha mungu' umekufuru kwa imani yangu... labda kama umeandika kwa dhihaka