Hata mimi nimeshangaa dogo analia wanaume watatu tu!!!
Halafu mimi nikisema watu waaminifu wamekuwa tunu, nabishiwa.
Papo hapo, watu wengine wanashangaa kwa nini watu wengine hawataki kusikia habari za ndoa.
unachosema ni ukweli mtupu...na hii hutokea pale mhusika anapo shindwa kukamilisha na kuikalia nafasi yake vema. ...mwishowe huchukuliwa na hao.Nilikua nasoma article moja wanasema hiyo pia ni cheating, cos amount ya time, emotions, feelings unazotumia nao was meant kwa ur partner na sio wao
Kwa mtizamo huu hali ni mbaya kwenye mahusiano!! Mafiga matatu!! Ndo kusema wengine wana wanaume km matundu ya mchina au?
Achana na mambo ya kukagua mambo ya watu.
Maliza mambo yako kwanza.
Nina mpenzi ambaye tumedumu nae kwa muda wa miaka miwili tena wakati mwingine tumeishi pamoja kwa kipindi cha mwaka mmoja ila sikuwa napekua simu yake maana niliaminii ni mtu mzima anajua akitendacho.
Baadae tukatengana kutokana na majukumu ya kazi, ni miezi kama mitatu imepita hatujaonana ingawaje kipindi chote tumekuwa tukiwasiliana huku tukisaidiana mambo mbali mbali sasa ni jana nimemsurprise huyu binti huko anakoishi nilikuta yupo nyumbani akanipokea kwa bashasha akidai amenimiss huku akilaumu kwani sikumpa taarifa.
Simu yake ilikuwa imeharibika whaatsap akaniomba nimtengenezee sasa baada ya kudownload ile app nika backup data aisee nilichokutana nacho huko ni siri yangu maana usiku wangu ulikuwa mrefu wenye mawazo mengi sitawahi msahau na sitamsamehe .
Nashukuru Mungu nimepima niko vizuri yaani wanaume watatu.
Siku hizi ukikuta mwanake ana wanaume watatu ujue huyo ni very decent
standards zimeshabadilika
unatakiwa urudi baada ya miezi mitatu ukapime tena.
.
lazima umchunguze maana anaweza kukuunga na kifurushi cha kula ARV
Nilikua nasoma article moja wanasema hiyo pia ni cheating, cos amount ya time, emotions, feelings unazotumia nao was meant kwa ur partner na sio wao
Siku hizi ukikuta mwanake ana wanaume watatu ujue huyo ni very decent
standards zimeshabadilika