Sitathubutu tena kushika simu ya mwanamke

Sitathubutu tena kushika simu ya mwanamke

Hata mimi nimeshangaa dogo analia wanaume watatu tu!!!

Kwa mtizamo huu hali ni mbaya kwenye mahusiano!! Mafiga matatu!! Ndo kusema wengine wana wanaume km matundu ya mchina au?
 
Mwisho usipekue simu ya mwenzako wakati wewe mwenyewe ni kakajambazi. Do to others as......
 
Halafu mimi nikisema watu waaminifu wamekuwa tunu, nabishiwa.

Papo hapo, watu wengine wanashangaa kwa nini watu wengine hawataki kusikia habari za ndoa.
 
Nilikua nasoma article moja wanasema hiyo pia ni cheating, cos amount ya time, emotions, feelings unazotumia nao was meant kwa ur partner na sio wao
unachosema ni ukweli mtupu...na hii hutokea pale mhusika anapo shindwa kukamilisha na kuikalia nafasi yake vema. ...mwishowe huchukuliwa na hao.
 
Mamaye,umesema ulichokutana nacho huko ni siri,sasa umewashwa nn kuanzisha uzi?
 
Kwa mtizamo huu hali ni mbaya kwenye mahusiano!! Mafiga matatu!! Ndo kusema wengine wana wanaume km matundu ya mchina au?

Mkuu hebu acha kunichekesha aiseee, khaaaa!! mi nimeandika kiutani tu bana
 
wanawake wanatamaa sana uki+ na njaa wanauza k kama hawa akili
 
Nina mpenzi ambaye tumedumu nae kwa muda wa miaka miwili tena wakati mwingine tumeishi pamoja kwa kipindi cha mwaka mmoja ila sikuwa napekua simu yake maana niliaminii ni mtu mzima anajua akitendacho.

Baadae tukatengana kutokana na majukumu ya kazi, ni miezi kama mitatu imepita hatujaonana ingawaje kipindi chote tumekuwa tukiwasiliana huku tukisaidiana mambo mbali mbali sasa ni jana nimemsurprise huyu binti huko anakoishi nilikuta yupo nyumbani akanipokea kwa bashasha akidai amenimiss huku akilaumu kwani sikumpa taarifa.

Simu yake ilikuwa imeharibika whaatsap akaniomba nimtengenezee sasa baada ya kudownload ile app nika backup data aisee nilichokutana nacho huko ni siri yangu maana usiku wangu ulikuwa mrefu wenye mawazo mengi sitawahi msahau na sitamsamehe .

Nashukuru Mungu nimepima niko vizuri yaani wanaume watatu.

Inawezekana Mimi ndo nimekuelewa tofauti yaani Umekuta wanaume 3 wanamla Uroda kwa Pamoja....kwasababu kitendo cha kukuta mwanaume hata1 kinauma,so nahisi idadi sio issue,nahisi imekuta wanamla Uroda kwenye Picha ulizo Back up!
 
hahaha tena huyo kajitahidi.Jamaa hajui kuwa fimbo ya mbali haiwi nyoka
 
Bado hujawajua hawa viumbe,usipende kwa dhati ili usiumie ukitendwa
 
Kweli tutakwisha, unafikiri ni wangapi hawaoni ? Hata ww ilikuwa zari tu Kuona, usingeona vipi ? Ungepima ?
 
Back
Top Bottom