Site Engineers tupeane mbinu

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,301
Reaction score
8,706
Kama kawaida sekta za ujenzi haisimami. Kazi ni kila siku yaani 24/7.

Kwa site engineers hasa barabarani tupeane mbinu za kuminimize cost za ku-run site activities.

Pia na jinsi ambavyo tunaweza kunufaika na shughuli hizi.
 
Mkuu kama kuna nasota mtaani Engineer mwenzako, ukipata taarifa za kampuni inayohitaji Engineer tukumbukane Mkuu.
 
Mkuu kama kuna nasota mtaani Engineer mwenzako, ukipata taarifa za kampuni inayohitaji Engineer tukumbukane Mkuu
Upo pande zipi Kama upo vizuri kwenye bridge design na unaweza kutumia AUTOCAD kwa speed nenda kafuatilie daraja la WAMI wanahitaji compitent Engineer siyo mbabaishaji kazi Ni nyingi na unatakiwa umalize ndani ya mda mfupi mfano michoro ya Culvert pamoja na details zake zote ndani ya siku mbili uwe umekamlisha.
 
Shukrani Mkuu ngoja nifatilie.
 
Hivi kuwa Engineer wa site kuna vigezo? maana naona wengi wanajiita tu Engineer.
 
Wasomi hawa ibabidi wajipange sana maana huku mtaani saidia fundi wanajenga hadi gorofa
 
Alafu likipiga ufa unamuita injinia aje akupe njia za kuuziba.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ acha tu kaka, Wabongo hawaheshimu ujuzi kabisa, Sijui akili za watanzania unaweza juta kwa kuhisi ulipoteza muda kwa kusoma fani yako, imagine ambavyo kwa sasa hivi huu ugonjwa unavyochukuliwa kisiasa sijui tulisomesha wataalamu wa afya ili iweje
 
Alafu likipiga ufa unamuita injinia aje akupe njia za kuuziba.
Inategemea mbona hata hao wasomi wanajenga naufa zinatokea sio kila injinia anaweza kufanya kazi nzuri wengine uwezo bado mdogo ukubali ama ukatae ukweli ndohuo
 
Inategemea mbona hata hao wasomi wanajenga naufa zinatokea sio kila injinia anaweza kufanya kazi nzuri wengine uwezo bado mdogo ukubali ama ukatae ukweli ndohuo
Ukiona jengo limejengwa na goigoi sio jengo hilo banda la kuku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…