Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Umevuka mpakaNimefanya nini 🤒🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umevuka mpakaNimefanya nini 🤒🤒
Ok IAM so pimbjUmevuka mpaka
mkuu, nafikiri hajaelewa vizuri, ila kuna watu tumeelewa ulichomanisha.Umeniquote vibaya mkuu sababu siko na lengo mbaya juu ya ile kitu mnafanya.
but kama umenielewa vibaya am sorry.
I love you too...😍Babu leo umeonja nini
Mambo yako humu leo ni fire...au ni ndugu zangu wamekuchanganya uko??
Sina mpango wa kufa haraka aiseee...🤪Naukuje nikukiss nikubusu nikutupilie mbali
Andaaa 300 ya mihogo, nisikuseme kwa maza🤒Mwanangu nishakuambia usipitie pigo zangu, mzee wako napendwa na watoto wadogo...😂 ona sasa unanipa aibu mbele ya TV...☹️ na kila memba amesha jua kwamba mimi namtaka huyo maua sama...🙄
Ukimuita maza unakosea, maana naye aliwahi kua binti kabla hatuja kuzaa ..mbaf..😎Andaaa 300 ya mihogo, nisikuseme kwa maza🤒
Sema tutakupiga mpaka ukose ramani yakurudi kwenuAndaaa 300 ya mihogo, nisikuseme kwa maza🤒
Mzee wangu Ushimen kanipa 500 🤒🤒Sema tutakupiga mpaka ukose ramani yakurudi kwenu
Akupe hakunagaMzee wangu Ushimen kanipa 500 🤒🤒
Una vutaga nini???Akupe hakunaga
Huyu mzee nibahili ila sio kwangu maana anajua ninampaga vitamu sasa wewe jichanganye hadi mamako ananijua kuwa nikimuhitaji anaachia ngazi muulize na shares humo kwenu asilimi 40 sasa jichanganye nitakiseka rumande .Una vutaga nini???
Labda share katika Lile banda la kufugia kunguni🤒🤒 Ushimen.Huyu mzee nibahili ila sio kwangu maana anajua ninampaga vitamu sasa wewe jichanganye hadi mamako ananijua kuwa nikimuhitaji anaachia ngazi muulize na shares humo kwenu asilimi 40 sasa jichanganye nitakiseka rumande .
Uongo hata siku moja huyu mzee hajaenda kwa waganga nope acha kupakazia watuLabda share katika Lile banda la kufugia kunguni🤒🤒 Ushimen.
👉Huyu hajui una miaka 2 haujaoga ehh, kisa unataka uwe tajiri 🤒
Ndio maana nakupenda toto...😋Uongo hata siku moja huyu mzee hajaenda kwa waganga nope acha kupakazia watu
Nipe basi ile inshu kule nipige hela kazi kubana naumezeekaNdio maana nakupenda toto...😋