Sitegemei playback.tarehe 1 May

Sitegemei playback.tarehe 1 May

Umeambiwa ni white party ya Zari....party party so lolote watakakofanya ukienda enjoy kama unataka show ya Diamond subiria uende.
 
Kati ya jambo nitakalojutia kuliko yote.ni Diamond kuniburudisha na playback..

#wachakinuke

Si bora ingekuwa playback tuu.......na kuimbishwa utaimbishwa.....sasa jiulize atakuwa ana perform nini.....akaaaaa mimi nitamsikia kwenye redio na ringing call za watu
 
Kati ya jambo nitakalojutia kuliko yote.ni Diamond kuniburudisha na playback..

#wachakinuke

Wewe sidhani kama ni mteja wa hiyo party! Wanao kwenda kule huwa hawa doubt kama unazo zionesha! Diamond ni msanii pekee ambaye hata akiimba na play back una hamasika kuendelea kumsikiliza! Tanzania hii msanii pekee ambaye akiimba live utapenda arudie hata mara kumi ni Christian Bella pekee na Barnaba wengine ni wasindikizaji!

Kwa hiyo kama ulishawai kuhudhuria show hata moja ya Diamond huwezi kumdoubt hata akiimba kwa play back!
 
Wewe sidhani kama ni mteja wa hiyo party! Wanao kwenda kule huwa hawa doubt kama unazo zionesha! Diamond ni msanii pekee ambaye hata akiimba na play back una hamasika kuendelea kumsikiliza! Tanzania hii msanii pekee ambaye akiimba live utapenda arudie hata mara kumi ni Christian Bella pekee na Barnaba wengine ni wasindikizaji!

Kwa hiyo kama ulishawai kuhudhuria show hata moja ya Diamond huwezi kumdoubt hata akiimba kwa play back!

Mkuu wewe ukipenda kitu yaani unavyokisifia???
Ongezea na live ya msondo enzi za mzee Tx Moshi, Ngurumo nk.(RIP)
 
Unadhani bila Diamond hiyo party ingejaa hivyooo... na tiketi kuisha mapema..... ITS ALL ABOUT DIAMOND pale.. bibi Zari masindikizaji tu
peopleeeeezzzzz hamkosi maneno Uganda pia alikua dai eeh juzi juzi Kenya part ya zari na huddah palijaa tiketi zikaisha na watu wakakosa it was dai eeeh......1st may save the date lol
 
Unadhani bila Diamond hiyo party ingejaa hivyooo... na tiketi kuisha mapema..... ITS ALL ABOUT DIAMOND pale.. bibi Zari masindikizaji tu

Ana mchango wake tena mkubwa tuu si kweli ni msindikizaji hizi headlines wanazo tengeneza bure..Diamond amekuwa na huyo mwanamke kwa kuwa anajua ni potential na ana mvuto na kuna watakao kwenda tena wengi kumuona vyema na wengine kumchunguza! Kwa hiyo kusema ni msindikizaji hawezi kuwa kweli nikikubali statement yako nitakuwa nimemchukulia Zari kama body guard wa Diamond jambo ambalo si kweli...!
 
Unadhani bila Diamond hiyo party ingejaa hivyooo... na tiketi kuisha mapema..... ITS ALL ABOUT DIAMOND pale.. bibi Zari masindikizaji tu

Ni party ya Zari sijui nani nani atakuwepo au kavuta watu ni party ya Zari.

Kwao anafanyaga kwa Jina la Zari na anajaza.

Party ya Zari.
 
peopleeeeezzzzz hamkosi maneno Uganda pia alikua dai eeh juzi juzi Kenya part ya zari na huddah palijaa tiketi zikaisha na watu wakakosa it was dai eeeh......1st may save the date lol
Evelyn Salt, jaribu kumwelewa mwenzako, huyu mpwa wangu Heaven on Earth... huyu na wewe ni baba mmoja na mama mmoja! Tatizo ni kwamba, baba enu kachepuka... wakati wewe umeshakubali matokeo na kuamua kuupokea mchepuko wa baba kwa mikono miwili, my HoE bado hajaukubali hata kidogo... tatizo ni hilo tu, mwenzako nimeshamuelewa zamani... !! Je, Ushanielewa?... Ipo hivi... nyinyi wote ni die hard fans wa Wema na Diamond! Wakati wewe umeshakata tamaa na kuukubali mchepuko wa baba... Zari, my HoE bado hajampokea mama wa kambo! Yaani my HoE siku hizi anapata taabu sana ku-balance mahaba kwa baba na mama pale inapotokea mama anashambuliwa na chanzo ikiwa ni baba... ni hayo tu, kwahiyo wala usiwe unamsuta mwenzako, fahamu tu kwamba kwa sasa yupo katika wakati mgumu... ni kipindi cha mpito hiki!!!!
 
peopleeeeezzzzz hamkosi maneno Uganda pia alikua dai eeh juzi juzi Kenya part ya zari na huddah palijaa tiketi zikaisha na watu wakakosa it was dai eeeh......1st may save the date lol

Diamond ana influence katika hiyo zaituni white party mie mwenyewe haka ka ela kangu naenda kwa ajili ya Diamond not otherwise.... ange host hiyo party wakati hayuko Diamond ungeona salt.. date nishaisave sana lol

BTW its my opinion you can take it or leave it..
 
Evelyn Salt, jaribu kumwelewa mwenzako, huyu mpwa wangu Heaven on Earth... huyu na wewe ni baba mmoja na mama mmoja! Tatizo ni kwamba, baba enu kachepuka... wakati wewe umeshakubali matokeo na kuamua kuupokea mchepuko wa baba kwa mikono miwili, my HoE bado hajaukubali hata kidogo... tatizo ni hilo tu, mwenzako nimeshamuelewa zamani... !! Je, Ushanielewa?... Ipo hivi... nyinyi wote ni die hard fans wa Wema na Diamond! Wakati wewe umeshakata tamaa na kuukubali mchepuko wa baba... Zari, my HoE bado hajampokea mama wa kambo! Yaani my HoE siku hizi anapata taabu sana ku-balance mahaba kwa baba na mama pale inapotokea mama anashambuliwa na chanzo ikiwa ni baba... ni hayo tu, kwahiyo wala usiwe unamsuta mwenzako, fahamu tu kwamba kwa sasa yupo katika wakati mgumu... ni kipindi cha mpito hiki!!!!
ha ha ha hapo kwenye kubalance mahaba hata mi namuona anapata tabu lol
 
Diamond ana influence katika hiyo zaituni white party mie mwenyewe haka ka ela kangu naenda kwa ajili ya Diamond not otherwise.... ange host hiyo party wakati hayuko Diamond ungeona salt.. date nishaisave sana lol BTW its my opinion you can take it or leave it..
ha ha ha watu wanahamu na wifi buana ndo maana nkakupa hiyo ya kenya ambayo dai hata kuitangaza hakutakangaza ila palifurika....ulichonifurahisha ni kuwa utakuwepo ha ha ha nmependaje hongera
 
Diamond ana influence katika hiyo zaituni white party mie mwenyewe haka ka ela kangu naenda kwa ajili ya Diamond not otherwise.... ange host hiyo party wakati hayuko Diamond ungeona salt.. date nishaisave sana lol

BTW its my opinion you can take it or leave it..
Nitakusubiria getini... sawa enh?!
 
Back
Top Bottom