Sitegemei playback.tarehe 1 May

Sitegemei playback.tarehe 1 May

ha ha ha watu wanahamu na wifi buana ndo maana nkakupa hiyo ya kenya ambayo dai hata kuitangaza hakutakangaza ila palifurika....ulichonifurahisha ni kuwa utakuwepo ha ha ha nmependaje hongera

Haaaaaaaa naenda sababu ya Dai sio huyo wifi wenu ujue
 
Ana mchango wake tena mkubwa tuu si kweli ni msindikizaji hizi headlines wanazo tengeneza bure..Diamond amekuwa na huyo mwanamke kwa kuwa anajua ni potential na ana mvuto na kuna watakao kwenda tena wengi kumuona vyema na wengine kumchunguza! Kwa hiyo kusema ni msindikizaji hawezi kuwa kweli nikikubali statement yako nitakuwa nimemchukulia Zari kama body guard wa Diamond jambo ambalo si kweli...!
pia dai kushasema mara kibao wanasaidiana kibiashara na hiyo ndo biashara yenyewe...au biashara hadi yawe maduka ya nguo lol
 
Uwezo wa kucheza na kuimba bila playback hana. So tegemea playback. Tatizo pumzi
 
Haaaaaaaa naenda sababu ya Dai sio huyo wifi wenu ujue
ha ha ha ha kwa sasa dai na princess zarina ni chupa na mfuniko ukimuona mmoja umemwona mwingine hivo na wifi utamuona tu....sipati picha utakavokua unasonya all the time ha ha ha hela yako mwenyewe ila utapata traaaabuuu
 
Wewe sidhani kama ni mteja wa hiyo party! Wanao kwenda kule huwa hawa doubt kama unazo zionesha! Diamond ni msanii pekee ambaye hata akiimba na play back una hamasika kuendelea kumsikiliza! Tanzania hii msanii pekee ambaye akiimba live utapenda arudie hata mara kumi ni Christian Bella pekee na Barnaba wengine ni wasindikizaji!

Kwa hiyo kama ulishawai kuhudhuria show hata moja ya Diamond huwezi kumdoubt hata akiimba kwa play back!
Nilimuona mkono wa paka katika show za diamond za tigo na cocacola pale coco
 
Diamond ana influence katika hiyo zaituni white party mie mwenyewe haka ka ela kangu naenda kwa ajili ya Diamond not otherwise.... ange host hiyo party wakati hayuko Diamond ungeona salt.. date nishaisave sana lol

BTW its my opinion you can take it or leave it..
Tiketi zimeisha subiri dar live kukata mlangoni
 
Back
Top Bottom