Siti Mtemvu ndio anaomba msamaha au ?

Siti Mtemvu ndio anaomba msamaha au ?

evangelical

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
5,035
Reaction score
8,218
Huyu Binti wa Mhe Mtemvu ambaye amesababisha kufungiwa kwa mashindano ya miss tanzania,
na hivyo kuwakosesha fursa mabinti wengine na waandaaji wa mashindano hayo.

Nimemuona anahojiwa leo kwenye TBC 1 ambapo niliona anakinadi kitabu chake kinachojulikana kwa jina la Chozi la Siti.
Nimemsikia akilalamika sana sijui siku 30 za huzuni na kukashifiwa kwenye mitandao.
Namshauri kama kweli alihusika kwa namana moja au nyingine katika suala la kudanganya umri ni vyema akiri hadharani kwa kueleza ukweli na kuomba msamaha.

Aidha tulitaarifiwa kwamba suala hili lilifikishwa kwenye vyombo vya usalama pamoja na RITA mbona mrejesho haujarudishwa, ili kufahamu nani mwenye makosa, manake kwenye hili suala kuna mambo ya kughushi ambayo kama ni ya kweli ni kosa la jinai. wahusika wachukuliwe hatua za kisheria hata kama ni huyu mtoto wa mhe mbunge
 
Huyu Binti wa Mhe Mtemvu ambaye amesababisha kufungiwa kwa mashindano ya miss tanzania,
na hivyo kuwakosesha fursa mabinti wengine na waandaaji wa mashindano hayo.

Nimemuona anahojiwa leo kwenye TBC 1 ambapo niliona anakinadi kitabu chake kinachojulikana kwa jina la Chozi la Siti.
Nimemsikia akilalamika sana sijui siku 30 za huzuni na kukashifiwa kwenye mitandao.
Namshauri kama kweli alihusika kwa namana moja au nyingine katika suala la kudanganya umri ni vyema akiri hadharani kwa kueleza ukweli na kuomba msamaha.

Aidha tulitaarifiwa kwamba suala hili lilifikishwa kwenye vyombo vya usalama pamoja na RITA mbona mrejesho haujarudishwa, ili kufahamu nani mwenye makosa, manake kwenye hili suala kuna mambo ya kughushi ambayo kama ni ya kweli ni kosa la jinai. wahusika wachukuliwe hatua za kisheria hata kama ni huyu mtoto wa mhe mbunge

Na ww kwanini upo bize na huo upuuzi wake?...au na wewe ni mpuuzi?
 
Huyu bibi bomba nae atulie buana tushasahau habari zake sahivi tuko bize na BVR
 
Huyu Binti wa Mhe Mtemvu ambaye amesababisha kufungiwa kwa mashindano ya miss tanzania,
na hivyo kuwakosesha fursa mabinti wengine na waandaaji wa mashindano hayo.

Nimemuona anahojiwa leo kwenye TBC 1 ambapo niliona anakinadi kitabu chake kinachojulikana kwa jina la Chozi la Siti.
Nimemsikia akilalamika sana sijui siku 30 za huzuni na kukashifiwa kwenye mitandao.
Namshauri kama kweli alihusika kwa namana moja au nyingine katika suala la kudanganya umri ni vyema akiri hadharani kwa kueleza ukweli na kuomba msamaha.

Aidha tulitaarifiwa kwamba suala hili lilifikishwa kwenye vyombo vya usalama pamoja na RITA mbona mrejesho haujarudishwa, ili kufahamu nani mwenye makosa, manake kwenye hili suala kuna mambo ya kughushi ambayo kama ni ya kweli ni kosa la jinai. wahusika wachukuliwe hatua za kisheria hata kama ni huyu mtoto wa mhe mbunge

Wabongo bana, hujaridhika na matatizo yote yaliyomkuta mpaka usikie yuko Segera! acheni roho mbaya!
 
Yaani Sitti Mtemvu aandike kitabu mimi ndio ninunue nisome? Kweli nchini hii watu wanapenda sana kuleta masihara kwenye mambo serious.
 
Back
Top Bottom