Sitoi sadaka katika mazingira haya

Sitoi sadaka katika mazingira haya

Hujui maana ya sadaka.Wewe unaongelea pesa sio sadaka keep learning and reading your Bible utajua maana ya sadaka.Sadaka inafurahisha moyo wa Mungu, inamvusha mtu mmoja na inatakiwa ifanye kitu kwako wewe uliyetoa pia,hatutoi sadaka kwasababu ni sheria tunatoa sadaka kwasababu ni ibada, unapoweka hizo condition zako maana yake unamuwekea Mungu mipaka sasa,akiweka msukumo ndani yako wa kutoa sadaka mahali Fulani ambayo itavusha mtu wake na itafanya kitu kwako anakutana na vicondition kibao😃😃😃 Christians we need to learn to love God yaani mtu akiongelea sadaka kwa wakristo inakua issue ya pesa lol
Kwani sadaka wanayoongelea hawa wahubiri ni mahindi ya kula nyumbani kwao au wanataka pesa tuu!!?????
 
SadakA sio pesa pekee jikague na kwingine Utagundua we ni mtoaji mzuri tu.
Kila mtu Ana madhabahu yake anakojitolea kwa moyo... Wengine kuhonga, wengine Kwenye Kula.
Na wanatoa kwa kumaanisha bila kupepesa macho.
Ni kweli sadaka siyo pesa peke yake ila wanachotaka hawa matapeli wa kidini ni pesa pesa pesa tuuuu!!!
 
Kwa hiyo mwandika uzi umetuandikia misimamo yako ili iweje?, kwa faida ya nani? kuna mambo hata kama ni mazuri kwa upande wako ni vyema ubaki nayo mwenyewe si lazima uambie watu.. labda kama unatafuta attention jambo ambalo sio zuri kwa faida ya maisha yako... naondoka
Ni jiwe gizani mkuu?
 
Ni kweli sadaka siyo pesa peke yake ila wanachotaka hawa matapeli wa kidini ni pesa pesa pesa tuuuu!!!
Sadaka za wanyama, damu na kuteketeza Sir God alishahama upande huo.aahata ukitoa dhahabu hawatakaa navyo vikasaidia huduma bila kufanywa Pesa
 
Hongera sana,,,cla
Hakuna mtu amewahi lazimishwa kutoa sadaka, sadaka ni ibada ya hiyari toka moyoni.

Kutoa kwenye Jina la taasisi hakusaidii chochote, maana what matters ni integrity ya wasimamizi.

Mfano: Wahuni wamawezs sajili huduma ya Agape Ministry International, ikawa complete na account.

Wewe kuweka hela kwenye account ya hiyo taasisi hakumaanishi usalama wa sadaka yako, usalama ni integrity ya hao wato.

Sadaka inatakiwa iwe na msukumo wa ndani, na tunaitoa tukiamini tumetoa kwa Mungu, wao wakitumia vibaya watajuana na Mungu tuliyempa.
Hongera sana,,,
 
Back
Top Bottom