Sitoipigia kura CCM kwenye uchaguzi wowote kwa walichotufanyia kwenye mikopo ya elimu mwaka huu

Sitoipigia kura CCM kwenye uchaguzi wowote kwa walichotufanyia kwenye mikopo ya elimu mwaka huu

Mwanzo nilikua naikubali sana CCM ila kwa sasa sina imani tena na hiki Chama hasa kwa hiki walichotufanyia wanafunzi wa chuo mwaka huu wameweka batch nne tu za kupewa mkopo na kupelekea wanafunzi wengi wenye uhitaji wa mkopo kuacha chuo kwakua hawawezi kumudu gharama za masomo.

Naapa sitoipigia kura CCM kwenye uchaguzi wa aina yoyote.

Shusha maoni yako chini.
Tuungane hata sisi wastaafu tuliokumbwa na kikokotoo na kuahidiwa kulipwa arrears ambapo mpaka leo tumedangamywa tunaungana nanyi mpaka kieleweke.
 
Mwanzo nilikua naikubali sana CCM ila kwa sasa sina imani tena na hiki Chama hasa kwa hiki walichotufanyia wanafunzi wa chuo mwaka huu wameweka batch nne tu za kupewa mkopo na kupelekea wanafunzi wengi wenye uhitaji wa mkopo kuacha chuo kwakua hawawezi kumudu gharama za masomo.

Naapa sitoipigia kura CCM kwenye uchaguzi wa aina yoyote.

Shusha maoni yako chini.
Aliyekwambia pesa zipo za kugawa Kwa Kila mtu ni nani? Watapiga waliopata 😂😂😂😂😂
 
Tuungane hata sisi wastaafu tuliokumbwa na kikokotoo na kuahidiwa kulipwa arrears ambapo mpaka leo tumedangamywa tunaungana nanyi mpaka kieleweke.
Tatizo kuandamana mnitoe sitaki kufa mapema bora nyinyi wazee mmeisha kula chumvi mkatuwakilishe
 
😂😂Mzee wa jiji la mbeya mwambie mama atusaidie na sisi
Mikopo ipo Kwa fani za kipaombele, Serikali imetenga Bilioni 700 kukopesha wanafunzi wa Vyuo vya Kati Hadi Vyuo Vikuu.

Fuateni utaratibu uliowekwa na TCU ,mkikidhi vigezo mtapata maana pesa zipo Kwa kazi hiyo.
 
Mikopo ipo Kwa fani za kipaombele, Serikali imetenga Bilioni 700 kukopesha wanafunzi wa Vyuo vya Kati Hadi Vyuo Vikuu.

Fuateni utaratibu uliowekwa na TCU ,mkikidhi vigezo mtapata maana pesa zipo Kwa kazi hiyo.
Nilikuwa naipigia hesabu boom nikipata niwatembezee moto hawa watoto wa aiefuemu ninavyoandika hapa nishaibiwa demu tayari
 
Mwanzo nilikua naikubali sana CCM ila kwa sasa sina imani tena na hiki Chama hasa kwa hiki walichotufanyia wanafunzi wa chuo mwaka huu wameweka batch nne tu za kupewa mkopo na kupelekea wanafunzi wengi wenye uhitaji wa mkopo kuacha chuo kwakua hawawezi kumudu gharama za masomo.

Naapa sitoipigia kura CCM kwenye uchaguzi wa aina yoyote.

Shusha maoni yako chini.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 2
Mwanzo nilikua naikubali sana CCM ila kwa sasa sina imani tena na hiki Chama hasa kwa hiki walichotufanyia wanafunzi wa chuo mwaka huu wameweka batch nne tu za kupewa mkopo na kupelekea wanafunzi wengi wenye uhitaji wa mkopo kuacha chuo kwakua hawawezi kumudu gharama za masomo.

Naapa sitoipigia kura CCM kwenye uchaguzi wa aina yoyote.

Shusha maoni yako chini.
Haitasaidia kitu.
 
Back
Top Bottom