Sitoipigia kura CCM kwenye uchaguzi wowote kwa walichotufanyia kwenye mikopo ya elimu mwaka huu

Tuungane hata sisi wastaafu tuliokumbwa na kikokotoo na kuahidiwa kulipwa arrears ambapo mpaka leo tumedangamywa tunaungana nanyi mpaka kieleweke.
 
Aliyekwambia pesa zipo za kugawa Kwa Kila mtu ni nani? Watapiga waliopata πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tuungane hata sisi wastaafu tuliokumbwa na kikokotoo na kuahidiwa kulipwa arrears ambapo mpaka leo tumedangamywa tunaungana nanyi mpaka kieleweke.
Tatizo kuandamana mnitoe sitaki kufa mapema bora nyinyi wazee mmeisha kula chumvi mkatuwakilishe
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Mzee wa jiji la mbeya mwambie mama atusaidie na sisi
Mikopo ipo Kwa fani za kipaombele, Serikali imetenga Bilioni 700 kukopesha wanafunzi wa Vyuo vya Kati Hadi Vyuo Vikuu.

Fuateni utaratibu uliowekwa na TCU ,mkikidhi vigezo mtapata maana pesa zipo Kwa kazi hiyo.
 
Mikopo ipo Kwa fani za kipaombele, Serikali imetenga Bilioni 700 kukopesha wanafunzi wa Vyuo vya Kati Hadi Vyuo Vikuu.

Fuateni utaratibu uliowekwa na TCU ,mkikidhi vigezo mtapata maana pesa zipo Kwa kazi hiyo.
Nilikuwa naipigia hesabu boom nikipata niwatembezee moto hawa watoto wa aiefuemu ninavyoandika hapa nishaibiwa demu tayari
 
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 2
Haitasaidia kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…