Sitoisahau mwaka 2022 ! Kuna kipindi nilipigika balaaa

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,022
Reaction score
3,919
Mwezi unatuendea mwishoni Allah atubariki sana ,Amiin

Katika harakati zangu za maisha Huwa nimezoea sana vibiashara vidogo vidogo mana nilishajikatia tamaa huko ajira portal

Kipindi ambacho napitia magumu nlikuwa nabebwa na wife hamuwezi amini mana Mimi Huwa katika suala la fedha sijivungi

Nikiwa nacho nanunua Kila kitu ndani na pesa ya kula natoa vile vile .kumbe wife ni mtu WA kisave sana .kipindi napitia msoto mkali wife alikuwa anatoa kibubu chake kimya kimya.

Sasa hivi Nina vijana wangu wawili tunapambana sehemu na vijana wanaotoka na elfu 10 Kila mmoja na miasha yanaenda tu hivyo hivyo Alhamdulilah

Kuna level nikifika nikijipambanua vizuri nachoma vyeti moto .potelea mbali
 
Kila la kheri Kaka...Ndio Maisha
 
Hongera sana mkuu kwa kupambana.

Nyakati ngumu huwa hazidumu, tupo wengi tuliopitia katika vipindi vigumu ila vilipita kwa sababu hakuna lenye mwanzo lisikokuwa na mwisho.

Pia changamoto huwa zinatukomaza na kutuongezea nguvu za kupambana.

Ila baadhi ya Wanawake wanaojielewa, kwenye vipindi vigumu huwa msaada mkubwa sana.
 
Yule chali wako ulipata kumrudishia hela yake?. Hili ni la kwanza kufanya anae kuazima hela huyo ni rafiki alie kuamini
 
Huna ajira alafu unapika chai famba hivi dogo vipi umedata
 
Huna ajira alafu unapika chai famba hivi dogo vipi umedata
@92 jerrie sasa chai Iko wapi mzeee au mpaka mtu aajiriwe serikalini Babu.?????? Mzeee sio mpaka uajiriwe babu.pesa inatafutwa kimkakati mzeeew
 
Nikaenda kuomba mtaji kwa mwanangu mmoja akanizungusha kama mwezi hivi ila akanipatia na Hadi leo sijamrudishia na nishamwambia hii tulia kwanza

Coz nimezoea kuishi maisha makubwa ila hata hii bado naweza kuisha safi tu
Pole ila kupitia maelezo yako nimeona kosa lako ni kutorudisha hela za watu. Huwezi kufanikiwa kirahisi kwa kutorudisha pesa za watu kwa wakati..

Sikufundishi kuishi ila ni upumbavu mtupu kama unaishi maisha makubwa hadi kufikia hatua ya kupigika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…