Udom ina uhaba mkubwa wa wahadhiri pia,TAs wengi hupewa vipindi.....rafiki yangu pia alianza kufundisha hapo na degree yake moja......only SUA ndo ina zaidi ya 50%staff yake PhD holdersMawenzi,mi niko UDOM mwaka wa tau sijawahi fundishwa na TA!ungesema Assistant lectures hao wako weng!labda wataje hao TA
Mnachomshangaa mtoa mada mimi sikioni. Mbona chuo cha umma UDOM hiyo ni kawaida sana? MaTA waanafundisha hata postgraduates. Ndiyo hali halisi. Njooni mjionee
Udom ina uhaba mkubwa wa wahadhiri pia,TAs wengi hupewa vipindi.....rafiki yangu pia alianza kufundisha hapo na degree yake moja......only SUA ndo ina zaidi ya 50%staff yake PhD holders
Udom ina uhaba mkubwa wa wahadhiri pia,TAs wengi hupewa vipindi.....rafiki yangu pia alianza kufundisha hapo na degree yake moja......only SUA ndo ina zaidi ya 50%staff yake PhD holders
Mtoa mada siku nyingine kama huna taarifa za kutosha na za uhakika usitoe mada ili uonekane nawewe umetoa thread. Benezet ameanza pale ni Master holder. Na amepata ukuu wa idara tyr akiwa na masters yake. Kwa sasahivi ni Phd holder na sio mkuu wa idara tn. Ni Associate Dean FAHE. Mkuu wa idara ni Madam Millu. Sasa sijui wewe ulisoma st. John's ipi?. Alafu unakuta mtu anachangia bila hata doubt kuonyesha anaamini alichokisema mtoa mada kwa asilimia zote.
JF ni sehemu yenye heshima na kuaminika sio facebook kwahiyo usiiharibu kwa kukurupuka.
Udom ina uhaba mkubwa wa wahadhiri pia,TAs wengi hupewa vipindi.....rafiki yangu pia alianza kufundisha hapo na degree yake moja......only SUA ndo ina zaidi ya 50%staff yake PhD holders
Inamaana hiki chuo ni sawa na shule za kata maana huku mkuu wa idaraa kwasasa ana degree .Cheki vyuo vingine kwa mfano SUA mkuu wa idaraa ni PHD au Prof
Mtoa mada siku nyingine kama huna taarifa za kutosha na za uhakika usitoe mada ili uonekane nawewe umetoa thread. Benezet ameanza pale ni Master holder. Na amepata ukuu wa idara tyr akiwa na masters yake. Kwa sasahivi ni Phd holder na sio mkuu wa idara tn. Ni Associate Dean FAHE. Mkuu wa idara ni Madam Millu. Sasa sijui wewe ulisoma st. John's ipi?. Alafu unakuta mtu anachangia bila hata doubt kuonyesha anaamini alichokisema mtoa mada kwa asilimia zote.
JF ni sehemu yenye heshima na kuaminika sio facebook kwahiyo usiiharibu kwa kukurupuka.