Sitokuja kumwamini hata kidogo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kulidanganya taifa kuwa Magufuli ni mzima

Sitokuja kumwamini hata kidogo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kulidanganya taifa kuwa Magufuli ni mzima

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"

Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.

Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.

Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.
 
Akili za kuvukia barabara hizi zinaathiri sana ukuaji wa uchumi. Kila siku inabidi muambiwe Jambo hili kwamba unachokisikia kwa mawaziri, Rais, M/Rais na waziri mkuu ndicho unachopaswa kikisikia kutoka kwake na abadani kwa kiongozi mwenye kiapo Cha kutunza Siri hatoweza kusema nje ya yale anayopaswa kusema
 
Akili za kuvukia barabara hizi zinaathiri sana ukuaji wa uchumi. Kila siku inabidi muambiwe Jambo hili kwamba unachokisikia kwa mawaziri, Rais, M/Rais na waziri mkuu ndicho unachopaswa kikisikia kutoka kwake na abadani kwa kiongozi mwenye kiapo Cha kutunza Siri hatoweza kusema nje ya yale anayopaswa kusema

Siri ya kifo?!
 
Mzee mnamuandama[emoji23][emoji23] mara takwimu za msomera, handeni..mara mjanja mjanja dahh[emoji23] ngoja tuone mwisho!
 
Hii nchi haina waziri mkuu believe me, mawaziri wako shaghalabahgala kila mmoja anaongea lake, yeye nae yuko ziarani utadhani naibu waziri anayejifunza kutumia perdiem.
 
Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO" katika vitabu vya biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina majaliwa

Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.

Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.
Ukiondoa Uwaziri Mkuu wake, Majaliwa ni mjumbe wa Eagle house.Kwaiyo yeye kama afisa kipenyo ulitaka aseme nini kiprotokali?
 
Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"

Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.

Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.

Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.

Sio kila mambo ww mwanainchi unatakiwa kuyajua au kuambiwa ukweli wake, ndio maana kuna viongozi

Uwez kujua angesema anaumwa ingeleta madhira gani, so pm alichofanya ni sawa kabisa


Rais ndio Raia namba moja tanzania, mambo yake sio ya kuongelewa Tu bila mpango maalumu
 
Hii nchi haina waziri mkuu believe me, mawaziri wako shaghalabahgala kila mmoja anaongea lake, yeye nae yuko ziarani utadhani naibu waziri anayejifunza kutumia perdiem.

Tatizo tuna uhuru mkubwa wa kuongea kwenye mitandao kama hivi

So unaweza kusema anything Kwa kiongozi wako wa tatu ki mamlaka
 
"RAISI ANACHAPA KAZI IKULU, KWANI NI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO!?"

Hii ni kauli makini kabisa! toka kwa kiongozi makini....iliyotolewa katika muda uliostahili.


Ukiwa kiongozi makini, unapaswa kutoa kauli kama hizi ili kupunguza taharuki kwa umma....... Ili Kazi iendelee.......

No matter how the situation is.....that's leadership!
 
Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"

Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.

Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.

Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.
Alimaanisha anachapa kazi na malaika,..jaribu kumuelewa PM.
 
Back
Top Bottom