johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Alidanganya nini wakati mtu alikufa wiki Moja baadaeNa Wewe una hakika hakudangaya?
Mbona Ndesa wa Ufipa st alifia ofisini, sasa cha ajabu nini?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alidanganya nini wakati mtu alikufa wiki Moja baadaeNa Wewe una hakika hakudangaya?
Anaijua Mwenyezi Mungu pekee.Siri ya kifo?!
We jamaa una akili sana"RAISI ANACHAPA KAZI IKULU, KWANI NI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO!?"
Hii ni kauli makini kabisa! toka kwa kiongozi makini....iliyotolewa katika muda uliostahili.
Ukiwa kiongozi makini, unapaswa kutoa kauli kama hizi ili kupunguza taharuki kwa umma....... Ili Kazi iendelee.......
No matter how the situation is.....that's leadership!
Ndiyo maana aliudanganya umma wa Watanzania.Kwani yeye anakuamini?
Acha chuki wew, mbona uliamini mapapai yana uviko 19??Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"
Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.
Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.
Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.
Propaganda za Magufuri ili kwenda kinyume na Ulimwengu.Acha chuki wew, mbona uliamini mapapai yana uviko 19??
Acha kumpaka matope PM wetu mchapakazi..Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"
Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.
Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.
Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.
Kwa hiyo kusema uongo ndiyo mipango maalumu, huu ujinga gani. Kote ktk dunia iliyo endelea kulidanganya taifa ni uhaini kwa Wananchi. Kwani angenyamaza bila kuongeza uongo nani angemlazimisha au kuongea.Sio kila mambo ww mwanainchi unatakiwa kuyajua au kuambiwa ukweli wake, ndio maana kuna viongozi
Uwez kujua angesema anaumwa ingeleta madhira gani, so pm alichofanya ni sawa kabisa
Rais ndio Raia namba moja tanzania, mambo yake sio ya kuongelewa Tu bila mpango maalumu
Ile hotuba iliua ndoto za Urais wa Majaliwa kimasikhara sanaCha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"
Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.
Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.
Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.
Lini umeacha kumwamini Mungu ukaanza kutafuta kuwaamini WANADAMU?Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"
Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.
Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.
Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.
Kwa hiyo kusema uongo ndiyo mipango maalumu, huu ujinga gani. Kote ktk dunia iliyo endelea kulidanganya taifa ni uhaini kwa Wananchi. Kwani angenyamaza bila kuongeza uongo nani angemlazimisha au kuongea.
Je yeye kama kiongozi mweledi alikosa namna yoyote ya kuwasilisha ujumbe wa haki ya kiafya ya kiongozi wa nchi?
Una uhakika alidanganya?
Akili za kuvukia barabara hizi zinaathiri sana ukuaji wa uchumi. Kila siku inabidi muambiwe Jambo hili kwamba unachokisikia kwa mawaziri, Rais, M/Rais na waziri mkuu ndicho unachopaswa kikisikia kutoka kwake na abadani kwa kiongozi mwenye kiapo Cha kutunza Siri hatoweza kusema nje ya yale anayopaswa kusema
Sio kila mambo ww mwanainchi unatakiwa kuyajua au kuambiwa ukweli wake, ndio maana kuna viongozi
Uwez kujua angesema anaumwa ingeleta madhira gani, so pm alichofanya ni sawa kabisa
Rais ndio Raia namba moja tanzania, mambo yake sio ya kuongelewa Tu bila mpango maalumu
🤣🤣🤣Falsafa ya siasa ni uongo Sasa mnataka aseme ukweli Ili aende mbinguni. Wanasiasa wote ......Jehanamu inawahusu
Shida Jamii forum tumafamiea na Ntarahamwe kama huyu mwehuCha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"
Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.
Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.
Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.