Elections 2010 Sitomsahau nyerere kwa hili

Elections 2010 Sitomsahau nyerere kwa hili

Nyerere ndiyo chimbuko la viongozi wabovu. Yeye ndiye aliyetupa Mwinyi, Mkapa na sasa Kikwete na................

Interesting, The same Nyerere uliyekuwa unajaribu kutumia his moral authority kumhalalisha mgombea wako sasa hivi unamlaumu kwa kukufikisha hapa tulipo?

Hivi Nyerere amehusika vipi na urais wa Kikwete? Yanakuwa yaleyale ya kulaumu ukoloni kwa matatizo yetu hata baada ya miaka karibia ya hamsini ya kutukuwa na ukoloni......

omarilyas
 
Kama tetesi aka umbeya ungekuwa ndiyo utajiri, basi wewe na wengine wengi kama wewe mngekuwa mamilionea. Nenda pale mtaa wa Samora na Mkwepu kuna bookshop moja ina vitabu vyote. Kuanzia vya Sir Kahama mpaka Sir Chande.




:clap2:
 
Back
Top Bottom