Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,211
- 12,538
kuacha kifanya jambo flani kwa sababu flani hakufanikiwa ama linamsumbua ni matumizi mabaya ya Akili, ungekuwa umeshawahi kuoa once, ungepost mambo mengine, wewe ni muoga, umejiwekea mipaka kwa kusikia na kushuhudia, haujaingia mwenyewe mchezoni, sio mbaya huo ni mtazamo wako Mkuu, lakini ndoa ina utamu wake ambao wakati mwingine ukiipatia utamubwake ni zaidi ya hiyo Mbususu.