Zitto ana mkeSasa wewe Rasterman hujui kwamba mtu wa kwanza kuagiza gari aina ya Hammer kwenye nchi hii ni Zitto Kabwe, au hujui kwamba hana ndoa?
Huamini kwamba Sugu a.k.a Jongwe ni bilionea? Ana ndoa gani yule zaidi ya kula bata tu kwenye hotel yake kule Soko Matola?
Hata kama ni kweli hujawahi ona, hata masikio hayasikii?
Sugu ana mke tuliza kichwaSasa wewe Rasterman hujui kwamba mtu wa kwanza kuagiza gari aina ya Hammer kwenye nchi hii ni Zitto Kabwe, au hujui kwamba hana ndoa?
Huamini kwamba Sugu a.k.a Jongwe ni bilionea? Ana ndoa gani yule zaidi ya kula bata tu kwenye hotel yake kule Soko Matola?
Hata kama ni kweli hujawahi ona, hata masikio hayasikii?
Daa kwa kweli wamepungua sana.Anasema masela walim-care alipoumwa. Ila sishangai sana kwakuwa wanaume wanapungua kwa speed sana .
Bora waarabu wa Qatar wamelitambua hilo harakaaa
Lakini si kaoa tena ?Mimi ni Mwana ndoa mkongwe, lakini hapa unadanganya watu.
Kuowa au kuolewa siyo lazima ni hiyari ya mtu.
Kuna jamaa yangu mmoja amepitia ndoa ya mateso kiasi kwamba asingetamani tena ndoa, lakini ameondoka kwenye ndoa ya mateso, kamuachia mwanamke na Watoto nyumba na kila kitu, ameondoka na begi tu na Sasa ameowa mwanamke mwingine yuko peace kupitia maelezo.
Issue nzima IPO kwenye kutaka kuowa je unamuowa nani? ni soul mate wako?
Ndoa nyingi zinaharibiwa na majini mahaba na binadamu kwa kukosa maarifa tunashindwa kudeal na hivi vitu mapema.
Sasa utashangaa mwanamke anamnyima unyumba mume wake na wala hana bwana nje, hapo mnashindwa kujiongeza kama nyumba yako imevamiwa na mapepo?
Sugu ana ndoa mkuu, tena ya kanisani.Sasa wewe Rasterman hujui kwamba mtu wa kwanza kuagiza gari aina ya Hammer kwenye nchi hii ni Zitto Kabwe, au hujui kwamba hana ndoa?
Huamini kwamba Sugu a.k.a Jongwe ni bilionea? Ana ndoa gani yule zaidi ya kula bata tu kwenye hotel yake kule Soko Matola?
Hata kama ni kweli hujawahi ona, hata masikio hayasikii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanawaonea wivu wanawake kuhongwa eti ha haSoon mtakataa kuhonga mtaanza kujiuza wenyewe! [emoji23]
Kama huelewi nilichoandika bora usireply mm nazungumzia ushoga unavyopenyezwa kwenye jamii ww unaleta mambo ya u soul mate [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayo hayanihusu mpka uoe inamaana umefanya maamuzi ya pamoja na mwenzi wako.Mimi ni Mwana ndoa mkongwe, lakini hapa unadanganya watu.
Kuowa au kuolewa siyo lazima ni hiyari ya mtu.
Kuna jamaa yangu mmoja amepitia ndoa ya mateso kiasi kwamba asingetamani tena ndoa, lakini ameondoka kwenye ndoa ya mateso, kamuachia mwanamke na Watoto nyumba na kila kitu, ameondoka na begi tu na Sasa ameowa mwanamke mwingine yuko peace kupitia maelezo.
Issue nzima IPO kwenye kutaka kuowa je unamuowa nani? ni soul mate wako?
Ndoa nyingi zinaharibiwa na majini mahaba na binadamu kwa kukosa maarifa tunashindwa kudeal na hivi vitu mapema.
Sasa utashangaa mwanamke anamnyima unyumba mume wake na wala hana bwana nje, hapo mnashindwa kujiongeza kama nyumba yako imevamiwa na mapepo?
Kwani nimekulazimisha kuyaaminiHayo ni maneno na mtazamo wako
HaKwani nimekulazimisha kuyaamini
Kabla ya kureply huu uharo wako nimechungulia kwanza profile yako, nilipoona umejiunga 2022 nimekusamehe bure.Kama huelewi nilichoandika bora usireply mm nazungumzia ushoga unavyopenyezwa kwenye jamii ww unaleta mambo ya u soul mate [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayo hayanihusu mpka uoe inamaana umefanya maamuzi ya pamoja na mwenzi wako.
Uskurupuke elewa logic na usitetee kisa ukongwe wako kwenye ndoa unaweza ukawa mkongwe ila hujui lolote zaidi ya kulala na kuamka na vifaranga vyako
Wewe jamaa adabu huna kabisa, unaita familia ya wenzako vifaranga? Watoto wake na mke wake unawafananisha na vifaranga?Kama huelewi nilichoandika bora usireply mm nazungumzia ushoga unavyopenyezwa kwenye jamii ww unaleta mambo ya u soul mate [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayo hayanihusu mpka uoe inamaana umefanya maamuzi ya pamoja na mwenzi wako.
Uskurupuke elewa logic na usitetee kisa ukongwe wako kwenye ndoa unaweza ukawa mkongwe ila hujui lolote zaidi ya kulala na kuamka na vifaranga vyako