Mtuache
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 256
- 658
Zamani ilikuwa mtu akiwa kwenye ndoa unaona enhee kweli jamaa anafaidi. Kuna vitu ulikuwa ili uvipate aidha kwa mwanamke au mwanaume lazima uingie kwenye ndoa.
Sikuhizi mambo yamekuwa vice versa.
Binafsi sijaona sababu ya kunifanya nioe. Rafiki zangu waliooa kila siku wananiambia matatizo wanayokumbana nayo. Leo hili kesho lile.
Haya basi usiseme sitaki kuoa kisa hizo shida lakini pia raha zao, raha wanazopata kwenye ndoa hata mimi nisiyeoa naweza kuzipata.
Sijui wanawake wamejirahisisha au ndo usasa? Naona vitu vimekuwa tofauti na zamani
Cha msingi ni kuwa na ela tu.
Ela ndo kila kitu ukiwa nazo utapata kila kitu anachopata mwanandoa tena bila karaha zake. Binafsi sijioni nikioa labda miaka inavyozidi kwenda nitabadili mtazamo wangu.
Ila kwa sasa BADO SANA.
Sikuhizi mambo yamekuwa vice versa.
Binafsi sijaona sababu ya kunifanya nioe. Rafiki zangu waliooa kila siku wananiambia matatizo wanayokumbana nayo. Leo hili kesho lile.
Haya basi usiseme sitaki kuoa kisa hizo shida lakini pia raha zao, raha wanazopata kwenye ndoa hata mimi nisiyeoa naweza kuzipata.
Sijui wanawake wamejirahisisha au ndo usasa? Naona vitu vimekuwa tofauti na zamani
Cha msingi ni kuwa na ela tu.
Ela ndo kila kitu ukiwa nazo utapata kila kitu anachopata mwanandoa tena bila karaha zake. Binafsi sijioni nikioa labda miaka inavyozidi kwenda nitabadili mtazamo wangu.
Ila kwa sasa BADO SANA.