Hum B
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,045
- 1,468
Tatizo sizani kama SIMBA na JIDE zinaifaKweli simba na Jay dee wakiungana itakuwa poa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo sizani kama SIMBA na JIDE zinaifaKweli simba na Jay dee wakiungana itakuwa poa sana
EFM AWAJASANDA MKUURuge ni mtu makini sana,vijana huwa wanapandikizwa ujinga wanaanza kumrushia maneno wakianza kudidimia wanaenda kuomba msamaa sasa ngoja tusubiri ligi yake na wasafi maana efm wamesha sanda na muda ndio utatupa majibu.
Hivi Saganda Na Gillbiz nao walikuwemo kwenye movement?View attachment 739166
Hawa maniga walizingua Sana, walionyesha udhaifu mkubwa Sana kuomba msamaha clouds bora wangekausha tu, maniga nawakubali Sana ila hapa waliingia cha mashoga
Unamuongelea gabby auHivi Saganda Na Gillbiz nao walikuwemo kwenye movement?
Gabby BBG wa Jacaranda? HapanaUnamuongelea gabby au
Jide anadai wasanii wanamnyanyapaa wakihofia kutengwa na clouds lakini kwa sasa ni rahisi jide kushirikiana na diamond kuliko na alikibaTatizo sizani kama SIMBA na JIDE zinaifa
simba akimgonga Jide japo kimoja wataelewanaTatizo sizani kama SIMBA na JIDE zinaifa
Gilbert Sanga a.k.a GillbizView attachment 739166
Hawa maniga walizingua Sana, walionyesha udhaifu mkubwa Sana kuomba msamaha clouds bora wangekausha tu, maniga nawakubali Sana ila hapa waliingia cha mashoga
Jide ana bwana wake yule marastasimba akimgonga Jide japo kimoja wataelewana
Ngoja tuone picha litaishaje mkuuJide anadai wasanii wanamnyanyapaa wakihofia kutengwa na clouds lakini kwa sasa ni rahisi jide kushirikiana na diamond kuliko na alikiba
Sidhani, kama angekuwa yupo frontline tungemjua tu, hivi sugu ni mkinga???Gilbert Sanga a.k.a Gillbiz
![]()
Clouds ni kama homa ya ini ni hatari kuliko ukimwi wanakupa jina alafu mfukoni hewaaView attachment 739166
Hawa maniga walizingua Sana, walionyesha udhaifu mkubwa Sana kuomba msamaha clouds bora wangekausha tu, maniga nawakubali Sana ila hapa waliingia cha
mashoga
Hahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Clouds ni kama homa ya ini ni hatari kuliko ukimwi wanakupa jina alafu mfukoni hewaa
J mo anamafanikio ganiDah!!!wengine hapo walisha fanikiwa wakajiingiza kwenye anasa za dunia lawama anatupiwa Ruge,mbona vijana wenzao kama J mo wamefanya kazi na Ruge na wanaendelea kufanya nae kazi sasa hivi wako vizuri kwenye maisha yao na wanamafanikio.