Sitosahau mwaka juzi Amana hospitali walipokataa kumuhudumia mgonjwa wangu kisa sina pesa ya kipimo cha CT scan (150,000)

Sitosahau mwaka juzi Amana hospitali walipokataa kumuhudumia mgonjwa wangu kisa sina pesa ya kipimo cha CT scan (150,000)

Tanki

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
538
Reaction score
246
Mara nyingi hili tukio huwa linanijia kichwani. Sidhani kama nitaisahau Ile siku. Mgonjwa alikuwa baba yangu mzazi. Ni mtu mzima sana Kwa mwaka huo alikuwa na miaka 90+. Alikuwa na hali mbaya sana kiasi kwamba hata kuongea alikuwa hawezi. Hata kuinua tu mkono hakuwa na nguvu hiyo.

Hospitali wakagoma kumtibia kisa sikuwa na pesa ya ( 150,000) ya kipimo Cha sit scan (Sina uhakika kama nimeandika jina sahihi). Mtu anakuambua ni lazima hiyo hela ipatikane cash ndo tiba ianze. Aisee
 
Mara nyingi hili tukio huwa linanijia kichwani. Sidhani kama nitaisahau Ile siku. Mgonjwa alikuwa baba yangu mzazi. Ni mtu mzima sana Kwa mwaka huo alikuwa na miaka 90+. Alikuwa na hali mbaya sana kiasi kwamba hata kuongea alikuwa hawezi. Hata kuinua tu mkono hakuwa na nguvu hiyo.

Hospitali wakagoma kumtibia kisa sikuwa na pesa ya ( 150,000) ya kipimo Cha sit scan ( Sina uhakika kama nimeandika jina sahihi ). Mtu anakuambua ni lazima hiyo hela ipatikane cash ndo tiba ianze. Aisee
Pole sana mkuu. Kinaitwa CT Scan.
 
Pole sana, ni kushukuru MUNGU mzee wako ameona mambo mengi sana kwa umri huo. Imagine angekuwa mwanao 20's ndo kwanzaaa anayaanza maisha.
 
Mara nyingi hili tukio huwa linanijia kichwani. Sidhani kama nitaisahau Ile siku. Mgonjwa alikuwa baba yangu mzazi. Ni mtu mzima sana Kwa mwaka huo alikuwa na miaka 90+. Alikuwa na hali mbaya sana kiasi kwamba hata kuongea alikuwa hawezi. Hata kuinua tu mkono hakuwa na nguvu hiyo.

Hospitali wakagoma kumtibia kisa sikuwa na pesa ya ( 150,000) ya kipimo Cha sit scan ( Sina uhakika kama nimeandika jina sahihi ). Mtu anakuambua ni lazima hiyo hela ipatikane cash ndo tiba ianze. Aisee
Ni CT scan
Gharama yake inaanzia 150,000 Hadi 250,000
Pole sana mkuu, lakini saiv ndo mambo yalivyo. Kama hauna pesa ni ngumu sana kupata matibabu
Utakaa wodini kusubiri upate pesa ili uanze matibabu (hapo unaongeza gharama maana hospital stay kwa siku ni kuanzia 10,000 kwa hospital nyingi level ya know na rufaa)
Ndio maana kitu Cha mhimu saiv, ni kutafuta uwezekano wa kupata bima
AFYA NI GHARAMA, TUNZA AFYA YAKO SAIV.
 
Mara nyingi hili tukio huwa linanijia kichwani. Sidhani kama nitaisahau Ile siku. Mgonjwa alikuwa baba yangu mzazi. Ni mtu mzima sana Kwa mwaka huo alikuwa na miaka 90+. Alikuwa na hali mbaya sana kiasi kwamba hata kuongea alikuwa hawezi. Hata kuinua tu mkono hakuwa na nguvu hiyo.

Hospitali wakagoma kumtibia kisa sikuwa na pesa ya ( 150,000) ya kipimo Cha sit scan ( Sina uhakika kama nimeandika jina sahihi ). Mtu anakuambua ni lazima hiyo hela ipatikane cash ndo tiba ianze. Aisee
Pole sana
 
Umaskini ni mbaya, pole sana.
Ila Mungu ni mwema walau amekula chumvi
 
Pole mkuu hua ni changamoto na mapito katika maisha, samehe tu
 
Ulitakaje ,tena dar huko mfe kabisa nyie ndo mnajifanyaga mnaijua sana ccm
Kuna watu ''watakupiga mawe'' lakini una akili sana. Haya mambo hata mimi siku hizi sisikitiki tena. Nchi hii ina kila raslimali na haikutakiwa iwe hivyo. Tunacheka na CCM badala ya kuwawashia moto.
 
Back
Top Bottom