Sitosahau nilipotongoza kwa mara ya kwanza

Sitosahau nilipotongoza kwa mara ya kwanza

Nakumbuka nilimwandikia barua nikamwabia wewe ni dokta wa ugonjwa wangu, lazizi cjiwez kwako sasa barua ikaokotwa na wambea wa shule hata hawakuamini kama ni mimi na ukauzu kama Hitler.
Mpaka Leo demu ni mke wa mtu na watoto wawili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukaishia kutenga maji hata kunawa huku nawa haaaa haaa
 
Acha tu sema nilikuwa napima uwezo wa kuvamia msitu kama nikofit kwa wakati ujao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama nakuona vile,nikiwa darasa lakwanza niliokota barua sasa kusoma vizuri sijui mpaka nitulie si nikaitunza ikaja dondoka darasani haaaàa Mwl akaiokota uwiiii tukala viboko darasa zima, Mwl Njoka nakukumbuka sana
 
Aisee kuna dada mkali sana wakubwa wanamtafuta Ila wanamuogopa,mi ni mdogo kwake Ila ndio nimemfia ile mbaya nikaona isiwe tabu nikamtuma mdogo wake amwsmbie kuwa nampenda,dogo akafikisha ujumbe kwake. Pale madrasa muda Wa swala tunatakiwa tukaswali basi Yule dada akanimwagia kipigo cha kimya kimya, Sasa wakati ananipiga mi namwambia Asha mi nakupenda ujue we nipige ukichoka utasema, akanikubali sana,mwishowe nikawa najimegea kisela,slinismbis alikasirika kwa kuwa nilimtumia mdogo wake, wakubwa zangu hawakusmini kuwa namegs mtoto mzuri
Nalog off
 
Back
Top Bottom