Sitosahau nilivyojilipua kutumia viagra pamoja na vumbi la Congo

Sitosahau nilivyojilipua kutumia viagra pamoja na vumbi la Congo

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Kaka yenu shetani kabla sijaoa nikajilipua kwa binti mmoja alikuwa anapenda sana ngono ,basi ile tabia yake ukianza naye siku hiyo mpaka kesho yake.

Nikawa na choka ikabidi nimfanyie ukatili ambao urusi na iran ujawai fanywa. Ujana sio mzuri bwana nikapata kibunda changu kipindi cha jakaya bado raisi, mtoto ni kamwambia ijumaa tunaenda kulala bagamoyo hoteli nzuri ya ufukwe.

Mida ya jioni tunaondoka nilikuwa na viagra zangu vidonge vitatu huku nisha weka mbolea ya pembe jeo shambani aka vumbi la kongo.

Tulivofika Bagamoyo nikaona nimeze cha pili tutakapoingia mchezoni. Aisee kiukweli ilikuwa sio starehee kaka yenu shetani nilitaka kushindana na nilipotoka mpaka nika fanana mwekundu huku bomba la mafuta toka uganda mpaka tanga likuwa bado lijatoa mafuta.

Nililetewa maziwa ila siku hiyo mtoto wa watu alikoma kupenda ngono.
mpaka leo nimepata tatizo la mishipa kwenye damu.
 
nilimeza cha kwanza kabla naelekea na chengine kufika.au mpaka nikupe tatizo lilotokea.ukishindwa kunywa k-vant chupa mbili peke yako usijifananashe wote wapo sawa na wewe
Hakuna mtu anayeruhusiwa kunywa Viagra mbili au tatu Niambie uliokunywa ilikuwa na gram ngapi tuanzie hapo
 
20230110_214226.jpg
 
Kaka yenu shetani kabla sijaoa nikajilipua kwa binti mmoja alikuwa anapenda sana ngono ,basi ile tabia yake ukianza naye siku hiyo mpaka kesho yake.

Nikawa na choka ikabidi nimfanyie ukatili ambao urusi na iran ujawai fanywa. Ujana sio mzuri bwana nikapata kibunda changu kipindi cha jakaya bado raisi, mtoto ni kamwambia ijumaa tunaenda kulala bagamoyo hoteli nzuri ya ufukwe.

Mida ya jioni tunaondoka nilikuwa na viagra zangu vidonge vitatu huku nisha weka mbolea ya pembe jeo shambani aka vumbi la kongo.

Tulivofika Bagamoyo nikaona nimeze cha pili tutakapoingia mchezoni. Aisee kiukweli ilikuwa sio starehee kaka yenu shetani nilitaka kushindana na nilipotoka mpaka nika fanana mwekundu huku bomba la mafuta toka uganda mpaka tanga likuwa bado lijatoa mafuta.

Nililetewa maziwa ila siku hiyo mtoto wa watu alikoma kupenda ngono.
mpaka leo nimepata tatizo la mishipa kwenye damu.
Tulia tuelezee hilo tatzo
 
Wanaume tulio wengi au tulio wachache huwa tunaongeza nguvu za ziada kunako majamboz. Hii hutegemeana na aina ya mwanamke unayeenda kukutana naye yukoje. Kuna wanene, wembamba, warefu, wafupi, changudoa, kahaba, mwenye nyege kali, mwenye nyege za kawaida na aina zingine za wanawake na tabia zao juu ya majamboz. Wapo ambao wanataka uende mudu mrefu na nguvu za kwenda muda mrefu hakuna utaishia kuabika. Ili kukwepa aibu kunako majamboz viagra, vumbi la kongo na dawa za kichina zitatumika kuongeza nguvu na kukuza dushe liwe kubwa na refu ndio shughuli pevu ifanyike kwa ufanisi bila kuaibika
 
Dawa za kimasai ni magumashi tu bora za kichina japo zinavimbisha dushe kwa siku moja tu. Kwa kweli kuna changamoto nyingi za kufanya majamboz, zingine ni za kisaikolojia tu na lishe. Kama mtu hali lishe bora yenye virutubisho hata kama ataachiwa goli wazi hafungi goli
 
Back
Top Bottom