Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kaka yenu shetani kabla sijaoa nikajilipua kwa binti mmoja alikuwa anapenda sana ngono ,basi ile tabia yake ukianza naye siku hiyo mpaka kesho yake.
Nikawa na choka ikabidi nimfanyie ukatili ambao urusi na iran ujawai fanywa. Ujana sio mzuri bwana nikapata kibunda changu kipindi cha jakaya bado raisi, mtoto ni kamwambia ijumaa tunaenda kulala bagamoyo hoteli nzuri ya ufukwe.
Mida ya jioni tunaondoka nilikuwa na viagra zangu vidonge vitatu huku nisha weka mbolea ya pembe jeo shambani aka vumbi la kongo.
Tulivofika Bagamoyo nikaona nimeze cha pili tutakapoingia mchezoni. Aisee kiukweli ilikuwa sio starehee kaka yenu shetani nilitaka kushindana na nilipotoka mpaka nika fanana mwekundu huku bomba la mafuta toka uganda mpaka tanga likuwa bado lijatoa mafuta.
Nililetewa maziwa ila siku hiyo mtoto wa watu alikoma kupenda ngono.
mpaka leo nimepata tatizo la mishipa kwenye damu.
Nikawa na choka ikabidi nimfanyie ukatili ambao urusi na iran ujawai fanywa. Ujana sio mzuri bwana nikapata kibunda changu kipindi cha jakaya bado raisi, mtoto ni kamwambia ijumaa tunaenda kulala bagamoyo hoteli nzuri ya ufukwe.
Mida ya jioni tunaondoka nilikuwa na viagra zangu vidonge vitatu huku nisha weka mbolea ya pembe jeo shambani aka vumbi la kongo.
Tulivofika Bagamoyo nikaona nimeze cha pili tutakapoingia mchezoni. Aisee kiukweli ilikuwa sio starehee kaka yenu shetani nilitaka kushindana na nilipotoka mpaka nika fanana mwekundu huku bomba la mafuta toka uganda mpaka tanga likuwa bado lijatoa mafuta.
Nililetewa maziwa ila siku hiyo mtoto wa watu alikoma kupenda ngono.
mpaka leo nimepata tatizo la mishipa kwenye damu.