Sitosahau nilivyojilipua kutumia viagra pamoja na vumbi la Congo

Yaani hii vega ya 100mg ulikunywa vidonge viwili labda uniambie ulikunywa vidonge viwili vya 50 mg.

Ila wewe ni muongo sana
 
Kuna siku niliifuma manzi moja facebook
Nikaiita kimasihara tu ikaja lodge moja hivi maeneo ya sinza

Nikaioigia viagra aiseee


Nilikua naipiga mashine mpaka nikahis kule chini kwake kunapasuka
 
Hapo pa kuongeza ukubwa na urefu ni chai bila kitafunwa.
 
Hapo pa kuongeza ukubwa na urefu ni chai bila kitafunwa.
ukikutana na mwanamke baada kufanya akakutamkia hukumfanya lolote na hakuona maumivu ndio utajua umuhimu wa kuongeza ukubwa wa mtulinga, omba usitamkiwe hivyo
 
Ina maana toka ume fail kidato cha nne umekalisha matako tu hapo kwa shemeji yako toka mwaka jana? Hata si wakupeleke english course au nawe unaona raha tu kuzungusha zungusha makalio umevaa boxer hapo home kwa shemejio? Utampa shida dada yako.
 
Kumbe vumbi lilikuwepo tangu enzi za Jakaya?
 
We ni mwanamme wa Dar? Nakuuliza hivyo makusudi kwani bado we ni kijana na nakushangaa unakula viagra wakati umri ulionao ni umri wenye nguvu zaidi. Ushauri wangu kwako, wacha kushikishwa ukuta ama kupakatwa na wenzako pia usipendelee kula chips mayai.
 
ukikutana na mwanamke baada kufanya akakutamkia hukumfanya lolote na hakuona maumivu ndio utajua umuhimu wa kuongeza ukubwa wa mtulinga, omba usitamkiwe hivyo

Demu mmoja alinitamkia Umenigusa tu [emoji1787][emoji1787]
 
Pole kwa yaliyokukutaga.
Ila mimi huwa nashangaa sana eti mtu mara upake vumbi la congo, ooohh mara energy na panadol, oohh mara sijui manini huko kisa tu kumridhisha mwanamke. Hivi aliyekwambia binadamu(Mwanaume/Mwanamke) wanaridhika ni nani?
Watu wanajengea nyumba wanawake na wanaachwa!!!
Watu mahandsome boy wenye six pack wanaachwa!!
Wale wanaowaliza na kuwakojoza madem kwa bed wanaachwa!!
Wanaosomesha wapenzi wao wanaachwa!!!
Acha kupoteza muda kutumia vitu vinavyokuhharibu kiafya eti kisa kumridhisha mwanamke ili atulie!!![emoji23][emoji23][emoji23]

THE ONLY THING WHICH IS PERMANENT IN THIS LIFE IS CHANGE!!!
 
Demu mmoja alinitamkia Umenigusa tu [emoji1787][emoji1787]
wanaudhi sana, ukitamkiwa kimoja chali, au unanichafua tu, ndogo kama ya mtoto, mbona unachoka haraka sana? Usitoe endelea ni sentensi za kukera sana. Wanawake wenye maneno hayo tunawakimbia hatuwawezi kuwajaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…